Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Kanyoa Bye bye Morison. LolHuyu jamaa kanyoaje
Kanyoa Bye bye Morison. LolHuyu jamaa kanyoaje
Naomba ieleweke Morison hakuiba Gari south Africa Bali aliuziwa Gari ya wizi kimakosa tuMalipo ni hapa hapa. Mlimwita mwizi wa magari, mkamwita mvuta ganja na majina mengi mabaya. Leo yote yanawarudia huku tukisubiri rungu la 10 august
Two wrongs don't make a right.Wakati mnapita na Kessy, Yondani na Twite hamkujua haya?
Mtani Don Clericuzio hizi ndo kauli zenu sasa juu ya Morison. 😀Naomba ieleweke Morison hakuiba Gari south Africa Bali aliuziwa Gari ya wizi kimakosa tu
Pia ieleweke Morrison sio mkorofi alikuwa anadai chake kule
Jamaaa hana shida ni mtu safi sana
Hahahaha nimependa huu uteteziNaomba ieleweke Morison hakuiba Gari south Africa Bali aliuziwa Gari ya wizi kimakosa tu
Pia ieleweke Morrison sio mkorofi alikuwa anadai chake kule
Jamaaa hana shida ni mtu safi sana
Hata kwenye page ya police Tanzania wametoa statment ndefu ya kumuomba msamaha baada ya kumkamata majuzi kimakosa eti wakidhani ni mpiga debeMtani Don Clericuzio hizi ndo kauli zenu sasa juu ya Morison. 😀
Mtani Sanchez hivyo unamsafisha huyo hamnazo. Duh
Mbali na yote hayo bado haiondoi uhalisia wa jinsi alivyo Mtani.Hata kwenye page ya police Tanzania wametoa statment ndefu ya kumuomba msamaha baada ya kumkamata majuzi kimakosa eti wakidhani ni mpiga debe
Hahaha unajua mtani kiuhalisia yanga ndo mlimkosea sana morrison kumpanga na yikpe na molinga.Mbali na yote hayo bado haiondoi uhalisia wa jinsi alivyo Mtani.
Khaaaa!!! Haiwezi kutokea hiyo Mtani, tunaanzaje kumuomba radhi. Lol
Hahaha unajua mtani kiuhalisia yanga ndo mlimkosea sana morrison kumpanga na yikpe na molinga.
Nyie ndo Inabidi mumuombe radhi
Morrisio sio RAIA wa TZ hivyo si mwananchi, yeye alikuja kutafuta pesa sio blah blah za gongowazi.suala la upenzi wa timu bila pesa mpelekeeni mrisho ñgasaTwo wrongs don't make a right.
Hahaha mtani dua la kuku hili ujue.Khaaaa!!! Haiwezi kutokea hiyo Mtani, tunaanzaje kumuomba radhi. Lol
Hamna alichokosewa zaidi ya kuwa mtu mwenye tamaa yaani yupo huku ila maisha wanayoishi majirani yanamzuzua.
Si ajabu hata huko Kimataifa pia na nyie akawafanyia mbwembwe hasa pale atakapokutana na klabu iliyo bora zaidi ya Simba na kuitamani.
Wachaaaa!!!Morrisio sio RAIA wa TZ hivyo si mwananchi, yeye alikuja kutafuta pesa sio blah blah za gongowazi.suala la upenzi wa timu bila pesa mpelekeeni mrisho ñgasa
Mtani Imeisha Iyooooo.Hahaha mtani dua la kuku hili ujue.
Sema poleni sana naelewa huzuni mnayopitia, I feel what you feel
Ama kweli ukiwa masikini manyanyaso yanakuja bila hata kujua ili mradi tu uchanganyikiwe uuze timu
Leo nimeamka na mood ya kimatani zaidWachaaaa!!!
Hahahaaaa. Haina shida Mtani.Leo nimeamka na mood ya kimatani zaid
Unajua wee Shadeeya mashabiki wenzako wa vyura dizaini ya Sibonike wanakumandi kwa kutoa ushirikiano kwa mashabiki wa upande wa pili kwa kuwajibu 'kistaarabu'!?Khaaaa!!! Haiwezi kutokea hiyo Mtani, tunaanzaje kumuomba radhi. Lol
Hamna alichokosewa zaidi ya kuwa mtu mwenye tamaa yaani yupo huku ila maisha wanayoishi majirani yanamzuzua.
Hili limeisha kwako tu mtani ila trust me huyu jamaaa mpaka sasa anasumbuwa vichwa vya GSM, uongozi wa yanga mpaka mashabikiMtani Imeisha Iyooooo.
Tuko busy na mengine sasa.
Kesha saa nane kuna kwenzi jingine..Mara paap Fei TotoKanyoa Bye bye Morison. Lol