Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,532
Mtanii huyu hana nidhamuKAULI YA SIMON PATRICK NAIBU KATIBU MKUU WA YANGA HIYO. 👇 BAADA YA YALIYOTOKEA.
Wananchi Msikubali kuyumbishwa, Hili sakata ndio litakaloleta mageuzi ya mpira Tanzania, kuanzia kwenye mifumo ya haki mpaka kwenye taasisi za mipira.
Serikali ya JPM husimama upande wa wenye haki. CAS pia husimama upande wa wenye haki.
Nawaomba wanayanga msiwe na wasi wasi wa aina yoyote zama za ujanja ujanja zimeshaisha.
The Series is on, vaa miwani ya 3D, agizia kahawa, weka bundle.
Nawatakia mapumziko mema ya sikukuu ya nane nane.
#daimambelenyumamwiko
Tuachieni tu.
Hapa ndo janja Janja ya GSM mtailewa.