Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
We Jidanganye tu. Tutafungwa kote ila sio na 5imba.Sikuwahi kufikiri kuwa kifo nacho kinafurahiwa?
We Jidanganye tu. Tutafungwa kote ila sio na 5imba.Sikuwahi kufikiri kuwa kifo nacho kinafurahiwa?
Nilikwambia jana hatima ya Yanga kwa msimu huu itaamuliwa na Simba sasa subiri uone.Mmejileta wenyyewe.
Haya wale mnaojifanya mabingwa wa kubet betini na hii. 😂😂
Ndio kusema unaongea na simu ama? 😅😂😂😂😂Nilikwambia jana hatima ya Yanga kwa msimu huu itaamuliwa na Simba sasa subiri uone.
Kombe haupati
Michuano ya kimataifa hauendi.
Nawaonea huruma sanaWe Jidanganye tu. Tutafungwa kote ila sio na 5imba.
Shomary Lawi fc mmeingia kwenye mtego wa Mnyama.Heee. Unaongea na simu Mtani?
hamjatupa feedback TFF huko imekuajeHahahaaaa. Lol.
Sema mnajionea huruma
Hahahaaa. Kutoka hapo ulipo si gari moja tu mpaka pale tiefuefu.hamjatupa feedback TFF huko imekuaje
Kosa Simba alilofanya ni kumfuata mamba kwenye kina kirefu.
nyinyi ndio mna case huko sio sisi, sisi tunamtaka huyo mliefikishana nae huko , tupeni reportHahahaaa. Kutoka hapo ulipo si gari moja tu mpaka pale tiefuefu.
nenda kisha utuletee hizo fidibaki Mtani.
Picha la kutishaBREAKING NEWS:
Mkunungu de Utopolo yatangaza rasmi kuja na marefa wao mashuhuri Shomary Lawi na Elly Sassii pamoja na wachawi wao kutoka sehemu mbali mbali ndani na nje ya Tanzania katika mchezo wa nusu fainali dhidi ya Mabingwa wa nchi Simba sc.
Inaelezwa kuwa sababu kubwa ya kufanya hivi ni kutokana na hofu kubwa waliyonayo baada ya kuona Mpira mkubwa wa kutisha kutoka kwa Mnyama mkali Simba sc.
Haikuondolei kipigo Mkunungu de Utopolo.Picha la kutishaView attachment 1495726View attachment 1495727
Ha ha ha haIla goli lake mpaka leo linaniuma aisee, maana ndiyo hilo kila tukiwatambia kuchukua ubingwa wanatukumbusha tar 8 March.
Ha ha ha haNINA HAKIKA WALE VYA FUJO HUU UZI MNAUANGALIA NAMNA HII View attachment 1494006