Na ziliachwa makusudi kuja kutoa mbeleko.Huyu ni mkweli kabisa na ni mpenzi wa Mungu, kwani uwezo wa timu anaujua na usishangae kukiri kwake kwamba Majaliwa (Namungo) na mzee Bakhresa(Azam) hawawezi kuwabania na Ana uhakika na hizo point. Wala hiyo sisi haitusumbui kichwa, tutapambana uwanjani kuhakikisha jambo letu la msimi huu linatimia. Nyie endeleeni kutembelea mbeleko ya Majaliwa, Bakhresa, waamuzi na tfu tfu.