Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ndio hapo watajua kua hawajui, wakati wana ndugu zao wa karibu ambao ni fans wa Yanga.
Mfano mtu kama Manara, baba yake ni fan wa Yanga, mtoto wake ni fan wa Yanga,, simjafuatilia kama nae yupo upande wa Luc ama vp, ila kwa hawa wanao msupport humu naamini lzm ndugu zao wa karibu tu wapo Yanga, sijui wanajisikiaje kuwasaliti ndugu zao na kua vibaraka wa Luc
Huyo Manara alishalifikiria hilo akawapa makavu nadhani aliwaza mbali kwa kuona wapo watu wakaribu ambao haezi kubali waitwe manyani.

 
Leo nyie mmeshikwa pabaya, ndo mnajua ubaya wa kuchukua sentensi moja tu.

Hivi nyie mlivyotuita Mbumbumbu FC kipindi cha Rage mnadhani tulifurahi?
Hamna kushikana pabaya wala nini Mtani.

Hivi mbona na nyie mna majina kibao mnatuita tuliwahi waka Mtani na mengine mpaka mnataka yaekwe kwenye kamusi au sio nyie Mtani?

#KwaNyanihapanaaisee.
 
Hamna kushikana pabaya wala nini Mtani.

Hivi mbona na nyie mna majina kibao mnatuita tuliwahi waka Mtani na mengine mpaka mnataka yaekwe kwenye kamusi au sio nyie Mtani?

Chukulieni kama utani tu Mtani.

Mara nyingi kwenye kutaniana, lile ambalo linamkera zaidi mtani wako ndo unalitumia zaidi.

Ni utani tu, nyie siyo mbwa wala nyani, so eleweni kwamba tunataniana tu.
 
Shikalo

Yassin Mustafa, Lamine Moro, Mwamnyeto, (Juma Abdul)

Sureboy, Feitoto

Niyonzima

Chilunda, ( ), Nchimbi

Subs: Zawadi Mauya, Mapinduzi Balama, Juniour, Metacha, ( )

Hapo bado kuna wachezaji 5 kutoka nje

Yanga
 
Sorry hapo sio Chilunda (Ni Fareed yule wa Hispania, ninawafananisha hawa watu)
Shikalo

Yassin Mustafa, Lamine Moro, Mwamnyeto, (Juma Abdul)

Sureboy, Feitoto

Niyonzima

Chilunda, ( ), Nchimbi

Subs: Zawadi Mauya, Mapinduzi Balama, Juniour, Metacha, ( )

Hapo bado kuna wachezaji 5 kutoka nje

Yanga
 
Shikalo

Yassin Mustafa, Lamine Moro, Mwamnyeto, (Juma Abdul)

Sureboy, Feitoto

Niyonzima

Chilunda, ( ), Nchimbi

Subs: Zawadi Mauya, Mapinduzi Balama, Juniour, Metacha, ( )

Hapo bado kuna wachezaji 5 kutoka nje

Yanga
Dah aiseeeh wewe jamaa unapata tabu, kule Nyumbu huku Nyani hivi hapo ulipo upo Mikumi au Serengeti???

 
Hili la manyani linawafaa mno, tena mkiwa mnalichukia Ndo linazidi kua zuri ka la Utopolo
 
Ndio hapo watajua kua hawajui, wakati wana ndugu zao wa karibu ambao ni fans wa Yanga.
Mfano mtu kama Manara, baba yake ni fan wa Yanga, mtoto wake ni fan wa Yanga,, simjafuatilia kama nae yupo upande wa Luc ama vp, ila kwa hawa wanao msupport humu naamini lzm ndugu zao wa karibu tu wapo Yanga, sijui wanajisikiaje kuwasaliti ndugu zao na kua vibaraka wa Luc

Nyani mdogo pole sana
 
Mate wa Zlatan Ibrahimovich huyoooo jangwani
yangasc_2___CDipjEZgjJT___.jpeg
 
20200806_125659.jpg
Aliyekuwa Mshambuliaji wa Mbao FC ya Mwanza msimu uliopita kwa Sasa ni mchezaji wa Yanga Sc, Waziri Junior amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Julai wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2019/20, Waziri amewashinda Peter Mapunda wa Mbeya City na Obrey Chirwa wa Azam FC alioingia nao fainali.
 
Back
Top Bottom