Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Huyo Manara alishalifikiria hilo akawapa makavu nadhani aliwaza mbali kwa kuona wapo watu wakaribu ambao haezi kubali waitwe manyani.Ndio hapo watajua kua hawajui, wakati wana ndugu zao wa karibu ambao ni fans wa Yanga.
Mfano mtu kama Manara, baba yake ni fan wa Yanga, mtoto wake ni fan wa Yanga,, simjafuatilia kama nae yupo upande wa Luc ama vp, ila kwa hawa wanao msupport humu naamini lzm ndugu zao wa karibu tu wapo Yanga, sijui wanajisikiaje kuwasaliti ndugu zao na kua vibaraka wa Luc