You must be in the mind of your children in order to be successful" I stand to be corrected for this

Lasway.Jr

JF-Expert Member
Jul 25, 2015
230
402
You must be in the mind of your children in order to be successful" I stand to be corrected for this
Kwa nini unafikiri baba/mama kuna mahali walikosea? , kwa nn ukipigiwa story na kuambiwa kuwa mnakoishi sasa palikuwa porini miaka 15 iliyopita unajiuliza kwa nn baba asingenunua hata hekari kumi kipindi hicho? , kwann unaambiwa huyu jamaa alianza kama utani tunamwona na leo ni tajiri? ofcoz hyo ndio akili ya vijana tulio wengi, laiti wazazi wetu wangekuwa kwenye akili zetu(kabla hatujazaliwa) , so ili sisi tufanikiwe lazima tuweze kuwaza ni maswali gani watoto wetu watakuwa wanawaza ili tuyafanyie kazi iliwao waje kuwaza mawazo ya wajukuu zetu .....again and again hapo ndipo tutaweza kujenga kizazi chenye utajiri wa mawazo/fikra pamoja na mali [HASHTAG]#kamahupendipesawewesiorafikwangu[/HASHTAG]

hii kitu nimejifunza kwa wahindi na waarabu ambao nimefanikiwa kufanya nao kazi hapa tanzania hasa hizi family based company

naomba wana jamvi mchangie hapa je? ni wangapi wanawaza/wanakuwa kwenye akili za watoto wao?
 
Hata hizi elimu mnazoziona zinafaa, ni faida za mawazo ya wazazi wa kizungu.

To be honest, moja kati ya vitu navichukia ni hii elimu ya msingi mpaka Chuo. Yaani imeharibu fikra za wazazi wengi mpaka kizazi hiki.

Suala sio kuishi kwenye fikra za watoto wetu. Suala ni je, unachokiandaa kwaajili ya wanao kitakua na thamani wakati ujao?

Mzazi wangu alikua mkulima mzuri wa kahawa. Na alipiga sana hatua kipindi hicho mpaka akawa anafanya kilimo cha kisasa. Kilimo ambacho kilikua hakisubiri mvua inyeshe. Alikua na mshine za kuvuta mtoni kupeleka shambani. Kusema kweli alikua ni mfano wa kuigwa. Lakini baada ya kuingia huyu mdudu mnamuita elimu ya darasani, akashindwa kuwekeza akili kwa watoto wake kwenye kilimo bora zaidi ya kile alichokua anakifanya. Akawapeleka wanae wakaingize virus kwenye vichwa ili Leo hii wawe watumwa kwenye maofisi ya watu. Laiti kama angetumia nafasi ili kuwapa elimu ya vitendo kuhusu kilimo wanae, kusema kweli tungekua mbali sana. Huu umasikini usingetutesa.

Sitafanya kosa la Mzee wangu ambaye saizi ni masikini wa kuomba sh 2000.

Note: elimu ya kwenye makaratasi haina faida tena kwa kizazi hiki cha vitendo

Wekezeni kwenye vichwa vya wanenu hayo mnayoyafanya ili baadae waje kuyaendeleza.

Namaliza kwa kusema upo sahihi mkuu
 
Sadly, nyuzi za aina hii hua hazipati wachangiaji wengi.

Ila ungeandika njia za kuchepuka bila kukamatwa, sasa hivi mngekua mnaitafuta page ya saba!

Dear Africa, please wake up. You've been sleeping for too long!
Kwel kabsaa, na spirit kama hizi ndio msingi wa kujenga jamii iliyo tajiri
 
Hata hizi elimu mnazoziona zinafaa, ni faida za mawazo ya wazazi wa kizungu.

To be honest, moja kati ya vitu navichukia ni hii elimu ya msingi mpaka Chuo. Yaani imeharibu fikra za wazazi wengi mpaka kizazi hiki.

Suala sio kuishi kwenye fikra za watoto wetu. Suala ni je, unachokiandaa kwaajili ya wanao kitakua na thamani wakati ujao?

Mzazi wangu alikua mkulima mzuri wa kahawa. Na alipiga sana hatua kipindi hicho mpaka akawa anafanya kilimo cha kisasa. Kilimo ambacho kilikua hakisubiri mvua inyeshe. Alikua na mshine za kuvuta mtoni kupeleka shambani. Kusema kweli alikua ni mfano wa kuigwa. Lakini baada ya kuingia huyu mdudu mnamuita elimu ya darasani, akashindwa kuwekeza akili kwa watoto wake kwenye kilimo bora zaidi ya kile alichokua anakifanya. Akawapeleka wanae wakaingize virus kwenye vichwa ili Leo hii wawe watumwa kwenye maofisi ya watu. Laiti kama angetumia nafasi ili kuwapa elimu ya vitendo kuhusu kilimo wanae, kusema kweli tungekua mbali sana. Huu umasikini usingetutesa.

Sitafanya kosa la Mzee wangu ambaye saizi ni masikini wa kuomba sh 2000.

Note: elimu ya kwenye makaratasi haina faida tena kwa kizazi hiki cha vitendo

Wekezeni kwenye vichwa vya wanenu hayo mnayoyafanya ili baadae waje kuyaendeleza.

Namaliza kwa kusema upo sahihi mkuu
Uko sahihi Kabisa kwa unachokisema , but nilichomaanisha mm ni kuwa baba ako ndie angetakiwa awaze ulichoandika hapo juu na akapate kukupa wewe maarifa na ww kwa watoto wako, watoto kwa wajukuu n.k

Kama tungeweza hivi tungejenga jamii iliyo na utajiri wa kifkra na Mali
Mfano mzuri ni Asas company ambayo hapo ilipo sasa ni kizazi cha Nne ndio wanashikilia Biashara kwa sasa tangia mwaka 1920 wakati babu yao alitoka Yemen na kuja Mombasa then Dodoma na badae kuhamia iringa, ukifuatia kwa makini utakuta kuna mlolongo mkubwa wa kuridhishana ujuzi, elimu na maarifa katika Biashara ileile aliyokuwa Nayo babu yao
 
Hata hizi elimu mnazoziona zinafaa, ni faida za mawazo ya wazazi wa kizungu.

To be honest, moja kati ya vitu navichukia ni hii elimu ya msingi mpaka Chuo. Yaani imeharibu fikra za wazazi wengi mpaka kizazi hiki.

Suala sio kuishi kwenye fikra za watoto wetu. Suala ni je, unachokiandaa kwaajili ya wanao kitakua na thamani wakati ujao?

Mzazi wangu alikua mkulima mzuri wa kahawa. Na alipiga sana hatua kipindi hicho mpaka akawa anafanya kilimo cha kisasa. Kilimo ambacho kilikua hakisubiri mvua inyeshe. Alikua na mshine za kuvuta mtoni kupeleka shambani. Kusema kweli alikua ni mfano wa kuigwa. Lakini baada ya kuingia huyu mdudu mnamuita elimu ya darasani, akashindwa kuwekeza akili kwa watoto wake kwenye kilimo bora zaidi ya kile alichokua anakifanya. Akawapeleka wanae wakaingize virus kwenye vichwa ili Leo hii wawe watumwa kwenye maofisi ya watu. Laiti kama angetumia nafasi ili kuwapa elimu ya vitendo kuhusu kilimo wanae, kusema kweli tungekua mbali sana. Huu umasikini usingetutesa.

Sitafanya kosa la Mzee wangu ambaye saizi ni masikini wa kuomba sh 2000.

Note: elimu ya kwenye makaratasi haina faida tena kwa kizazi hiki cha vitendo

Wekezeni kwenye vichwa vya wanenu hayo mnayoyafanya ili baadae waje kuyaendeleza.

Namaliza kwa kusema upo sahihi mkuu
Wazungu waliliona hili ndiyo maana shule zinafungwa June na kufunguliwa September ili watoto wapate muda wa kuwasaidia wazazi wao.
 
Kitu muhimu kama una biashara au Kilimo ni kupanga muda wa watoto wako kusoma na kushiriki kwenye shughuli za familia. Ikiwezekana wape motisha kama ujira mdogo au zawadi ili wapende shughuli hiyo.

Wasipofanikiwa darasani angalau wana mtaji wa maisha.
 
Kwa hyo mkuu unashauri tuache kusoma sio haaa haaa
Endeleeni kusoma mkuu hiyo elimu yenu. Tatizo letu tunapenda status ndio maana tu masikini.

Unadhani elimu ni hiyo aliyoianzisha mkoloni ili awatumie kirahisi??

Elimu uliyopaswa kupewa ni kile alichokiwa anakifanya mzazi wake ili ukiboreshe kadri wakati unavyoenda.

Jiulize hiyo elimu unayoisema ukifa unawaachia nini wanaobaki?

Mnajifunza utumwa mkuu. Yaani unafundishwa kutumikia ili ulipwe ujira. Hufundshwi kuwa master. Umaster ilitakiwa ufundishwe na wazazi wako ndio maana nikajitolea mfano mimi na mzee wangu endapo angenipa elimu ya kilimo. Leo hii ningekua mbali na nisingekuwa mtumwa wa kusubiri mshahara na kusubiri vyeo. Bali ningekua master wa kujua nipande vipi ili nivune vingi. Nihifadhi vipi ili visiharibike.

Au elimu wewe unaitafsiri kupewa cheti? Elimu ni urithi wa maarifa. Na maarifa sio lazima yatoke kwa wakoloni ambao lengo lao linakua ni kukujenga fikra za kitumwa.

Hata ukilinganisha elimu zao na zenu, ni vitu viwili tofauti
 
Hata hizi elimu mnazoziona zinafaa, ni faida za mawazo ya wazazi wa kizungu.

To be honest, moja kati ya vitu navichukia ni hii elimu ya msingi mpaka Chuo. Yaani imeharibu fikra za wazazi wengi mpaka kizazi hiki.

Suala sio kuishi kwenye fikra za watoto wetu. Suala ni je, unachokiandaa kwaajili ya wanao kitakua na thamani wakati ujao?

Mzazi wangu alikua mkulima mzuri wa kahawa. Na alipiga sana hatua kipindi hicho mpaka akawa anafanya kilimo cha kisasa. Kilimo ambacho kilikua hakisubiri mvua inyeshe. Alikua na mshine za kuvuta mtoni kupeleka shambani. Kusema kweli alikua ni mfano wa kuigwa. Lakini baada ya kuingia huyu mdudu mnamuita elimu ya darasani, akashindwa kuwekeza akili kwa watoto wake kwenye kilimo bora zaidi ya kile alichokua anakifanya. Akawapeleka wanae wakaingize virus kwenye vichwa ili Leo hii wawe watumwa kwenye maofisi ya watu. Laiti kama angetumia nafasi ili kuwapa elimu ya vitendo kuhusu kilimo wanae, kusema kweli tungekua mbali sana. Huu umasikini usingetutesa.

Sitafanya kosa la Mzee wangu ambaye saizi ni masikini wa kuomba sh 2000.

Note: elimu ya kwenye makaratasi haina faida tena kwa kizazi hiki cha vitendo

Wekezeni kwenye vichwa vya wanenu hayo mnayoyafanya ili baadae waje kuyaendeleza.

Namaliza kwa kusema upo sahihi mkuu
kabisa chief, elimu ya Tanzania ni hovyo kabisa tena bure...imetuharibu na bado inaharibu sana, ila nafurahi kuona kizazi hiki tumeamka kwahyo watoto wetu hawata teseka kama sisi.

Uzi mzuri umenifanya nifikirie mbele na nyuma kimtazamo, asante sana.
 
"I just give it all for the sake of this small bussines,i know this small window of mine I call it shop,is the garden of my family's determination! This is like bee-hive for us! One day you"ll all know what I really mean! Alikuwa akiongea muhindi mmoja jirani yetu aliyekuwa akiishi jengo moja na sisi!alikuwa akipiga stori na mdingi miaka hiyo tukiishi quarters!! Sasa hivi ni 'Kifaru' hatari! Yeye ameshazeeka now but biashara zinasonga tu! Kuna spirit Mnapaswa kuwa nayo ku achieve mambo ya kijamiii kwa pamoja!
 
Hata hizi elimu mnazoziona zinafaa, ni faida za mawazo ya wazazi wa kizungu.

To be honest, moja kati ya vitu navichukia ni hii elimu ya msingi mpaka Chuo. Yaani imeharibu fikra za wazazi wengi mpaka kizazi hiki.

Suala sio kuishi kwenye fikra za watoto wetu. Suala ni je, unachokiandaa kwaajili ya wanao kitakua na thamani wakati ujao?

Mzazi wangu alikua mkulima mzuri wa kahawa. Na alipiga sana hatua kipindi hicho mpaka akawa anafanya kilimo cha kisasa. Kilimo ambacho kilikua hakisubiri mvua inyeshe. Alikua na mshine za kuvuta mtoni kupeleka shambani. Kusema kweli alikua ni mfano wa kuigwa. Lakini baada ya kuingia huyu mdudu mnamuita elimu ya darasani, akashindwa kuwekeza akili kwa watoto wake kwenye kilimo bora zaidi ya kile alichokua anakifanya. Akawapeleka wanae wakaingize virus kwenye vichwa ili Leo hii wawe watumwa kwenye maofisi ya watu. Laiti kama angetumia nafasi ili kuwapa elimu ya vitendo kuhusu kilimo wanae, kusema kweli tungekua mbali sana. Huu umasikini usingetutesa.

Sitafanya kosa la Mzee wangu ambaye saizi ni masikini wa kuomba sh 2000.

Note: elimu ya kwenye makaratasi haina faida tena kwa kizazi hiki cha vitendo

Wekezeni kwenye vichwa vya wanenu hayo mnayoyafanya ili baadae waje kuyaendeleza.

Namaliza kwa kusema upo sahihi mkuu
Naomba kujua elimu yako na umri ili tuanze kujadiliana
 
formula ipo ila sio Constant,
kila mtu anaweza kutengeneza formula yake na ikamsaidia vizuri kabisa.
Mkuu ww ndio umenielewa , formula za maisha zipo sana tuu, ukitaka kuamini hapo hapa tz kuna makabila yana formula zao za maisha na zinawatoa mfano , wachaga, wapare , wakinga, wahaya n.k

Family nyingi ambazo zimekuwa kwenye utajiri zina siri nzto(formula) za kuendesha na kusimamia Biashara zao na hyo siri inaridhishwa vizazi na vizazi lakini mpka kupata formula lazma inatakiwa kuhaso sana aisee

Pia kila kampuni kubwa (big brands in the world) mfano Apple, Microsoft, cocacola, amazoni, Facebook, alibaba hizi brand zina siri nzto ambayo ndio formula yao kufanikiwa
 
Back
Top Bottom