You have not secured a loan!

You have not secured a loan!

wote tumeandikiwa ivo "YOU HAVE NOT
SECURED LOAN kwo tuendelee kusubr
walopata ni wale wa medicine tu

Dogo ukishaona umeandikawa hivyo ujue tayar mkopo wako umechangia kwe kampeni za watu
 
Huko ndo kuisoma namba kwenyewe... Sasa mnataka tuwape mikopo halafu wasanii kwenye kampeni tungewalipa nini?.. Mtanyooka tu, acha waisome namba eeh, sie mbele kwa mbele leo tunaapisha
 
Kijana kuomba tena mkopo chuoni kapata so kaz ndogo nakumbuka nikiwa nasoma tulikua watu 2000 tuliomba chuoni walio pata walikua 3
so jins ya kufanya iliupate mkopo hakikisha unakua name cheki ya kifo cha wazazi ' barua ya kuachishwa Kaz ya mzazi' chet cha ulemavu'barua ya wadhamn waliokua wanakusomesha huko nyuma yani wafadhi taasisi ilyokua inakusomesha huko nyuma vingnevyo utapoteza buku yano yako bureeeeee #HaPA kAz TUu#
 
Back
Top Bottom