You have not secured a loan!

You have not secured a loan!

Kama una kiasi cha kuanzia unaweza kuendelea huku ukiwa ume appeal.Applied geology huwa ina priority mbona

Nashindwa kuelewa kwa nini wamefanya hivyo istoshe shule zote nlosoma ni za government af course ina priority
 
Dah, hofu yangu kubwa imekuwa confirmed. Nilifanikiwa kuingia kwenye profile yangu ya HESLB, Nikakuta maneno "You have not secured a loan" yapo pale. Ile kurasa ilikua na sehemu ambazo hazina info yeyote mfano, "Reason", "Institute", "Full name". Sasa sijui hili ni tatizo na mtandao wao? kama si tatizo, na ikawa kuwa ni kweli nimekosa mkopo, kuna uwezekano wa kuappeal nikapata walau 0%?

Kama haiwezekani au inawezekana, basi toa ushauri wako ili kwa wale wenzangu ambao wote tumekumbwa na hili tujue cha kufanya.

NOTE: Ijulikane kuwa course niliyoweka ilikua ni "Non Priority".

kama hme maisha bra nenda chuo ila ka mzaz wako n mlalahoh potezea au omba mwakan mana matumz kwa chuo wastan bk 5 ad 8 kama up chuo chochote tz h
 
wote tumeandikiwa ivo "YOU HAVE NOT
SECURED LOAN kwo tuendelee kusubr
walopata ni wale wa medicine tu
 
Dah, hofu yangu kubwa imekuwa confirmed. Nilifanikiwa kuingia kwenye profile yangu ya HESLB, Nikakuta maneno "You have not secured a loan" yapo pale. Ile kurasa ilikua na sehemu ambazo hazina info yeyote mfano, "Reason", "Institute", "Full name". Sasa sijui hili ni tatizo na mtandao wao? kama si tatizo, na ikawa kuwa ni kweli nimekosa mkopo, kuna uwezekano wa kuappeal nikapata walau 0%?

Kama haiwezekani au inawezekana, basi toa ushauri wako ili kwa wale wenzangu ambao wote tumekumbwa na hili tujue cha kufanya.

NOTE: Ijulikane kuwa course niliyoweka ilikua ni "Non Priority".

Nyie si mliambiwa elimu itakua bure mpaka chuo kikuu alafu mkakataa!! sasa unacholalamika hapa nini??
 
Nashindwa kuelewa kwa nini wamefanya hivyo istoshe shule zote nlosoma ni za government af course ina priority

kupata mkopo haijalishi ulisoma wapi, wenzako wamepiga zote private ila bado wana mkopo mzuri tu!!!
 
Daaaah mpaka thatha kile niliesikia kapata mkopo ni wa idara ya afya tu kwangu mm sijui wengine sie sio wanafunzi na hatuna manufaa kwa mainjinia wenzangu
 
Dah, hofu yangu kubwa imekuwa confirmed. Nilifanikiwa kuingia kwenye profile yangu ya HESLB, Nikakuta maneno "You have not secured a loan" yapo pale. Ile kurasa ilikua na sehemu ambazo hazina info yeyote mfano, "Reason", "Institute", "Full name". Sasa sijui hili ni tatizo na mtandao wao? kama si tatizo, na ikawa kuwa ni kweli nimekosa mkopo, kuna uwezekano wa kuappeal nikapata walau 0%?

Kama haiwezekani au inawezekana, basi toa ushauri wako ili kwa wale wenzangu ambao wote tumekumbwa na hili tujue cha kufanya.

NOTE: Ijulikane kuwa course niliyoweka ilikua ni "Non Priority".

Mkuu nimechagua coz ya eng lakini pia nimekosa ada sina ya kulipia mwisho wa reg ni 15 mwez huu kuhang-ka kote naishia hapa daa
 
Ushauri wangu kama una ada ya kuanzia nenda kaanze tuu....mkopo unaweza ukatoka but sio leo wala kesho...bado nchi haijatulia hii kiutendaji

Je kama ukiwa hauna ada inamaana ndooo imekula kwako
 
Dah, hofu yangu kubwa imekuwa confirmed. Nilifanikiwa kuingia kwenye profile yangu ya HESLB, Nikakuta maneno "You have not secured a loan" yapo pale. Ile kurasa ilikua na sehemu ambazo hazina info yeyote mfano, "Reason", "Institute", "Full name". Sasa sijui hili ni tatizo na mtandao wao? kama si tatizo, na ikawa kuwa ni kweli nimekosa mkopo, kuna uwezekano wa kuappeal nikapata walau 0%?

Kama haiwezekani au inawezekana, basi toa ushauri wako ili kwa wale wenzangu ambao wote tumekumbwa na hili tujue cha kufanya.

NOTE: Ijulikane kuwa course niliyoweka ilikua ni "Non Priority".
Kalaghabaoooo.. ndobasi tenaa, non priority!!!
Nakushauri ufanye harambee tu kwa wanafamilia kama wazazi hawanauwezo au ujitumbukize kwenye mchuano mwakani tena kwakozi za priority
 
Back
Top Bottom