cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
mi cku zote najua ni utani! ckujua kuwa ye kafanya kweli, hata hii ya leo nadhani ni utani tu bwana! mmmmmmmhhhhhhhhhhhh!hivi sasa shostito cacico! haya ndo ya mzigo mzito mpe mnyamwez aubebe au? to me i think Young_Master anapaswa kujua kwamba humu jamvin ni utani tu bana asiyaweke kuwa ya ukweli manake akienda kwa stail hizo mbona ataumia kweli? ila na wewe ulianzaje....................?????????