kinacho imaliza ccm siyo makundi ila ni vitu viwili. Moja kushindwa kuondoa umasikini na pili ni uzee. Kwa sasa hakuna namna ya kukinusuru zaidi ya kukiondoa madarakani. .100% ya watu wote wanaovaa nguo za kijani wanafanya hivyo siyo kwa sababu ya kupenda sera bali ni kulinda maslahi.
View attachment 50790
Ndg zangu Kwanza Nitumie nafasi Hii Binafsi kuwapongeza Chadema kwa Ushindi Wa Arumeru Mashariki,Kiwira,Kirumba,Liziboni na Pia Cuf kwa Ushindi Wa Kata ya Tanga
Nimeamua kufanya hivi kwa Misingi ya kidemokrasia ni wapongeze mmepewa heshima hiyo watumikieni
Ninawapongeza Pia kwakua uchaguzi huu Kama Viongozi Wa CHAMA changu Watatumia Busara basi hili nifunzo kubwa na Nina washaukuru CDM Matokeo haya kutupa Ishara kuwa Kaskazini inaanza kupotea mikononi Kwetu,Kusini Nyanda za Juu inaanza kupotea,Kanda ya Ziwa inaanza kupotea hii ni Alarm kwa CHAMA changu umewadia wakati kwa ujumbe huu Viongozi wakuu warudi ktk Round Table kujadili upya na kutazama Kama makundi yetu yakaisaidia CHAMA
Kwa Matokeo haya Kanda ya Ziwa Alikuwepo Samwel Sitta,Kwa Maana ya KIRUMBA,Mbeya Alikuwepo Mama Anne Kilango,kwa Maana ya Kiwira, Arumeru Alikuwepo Mzee MKAPA,Mzee Mkama,Mzee Lowasa,Ndg yangu Nape ,Liziboni Dk Nchimbi na maaneo haya yote Tumeshindwa umewadia wakati Wa KUJITAFAKARI na kujiangalia kwa kina na si kuja na majibu Kama Yale tuliokuja nayo Baada ya Uchaguzi Mkuu 2010,Tunatakiwa kuja na MAJAWABU
Ninadhani demeokrasia imeheshimika na CCM tumekua tukisahau wajibu wetu Wa kujadili matatizo ya watu toka mwaka 2007 Mpaka sasa 2012 ,wananchi walitupa 1st Workup call 2010 hatukuamka and this is a 2nd Workup Call hatuna Budi kuwashukuru wananchi bcs Wametupa 2nd chance ya kuamka Tujitafakari UPYA
Nimelizie kuwwapongeza CUF na CDM kwa Ushindi wao niwatakie kila la kheri Asanteni kwa kutuamsha Mara ya Pili!
Hussein Bashe Bashe
"Kwa Matokeo haya Kanda ya Ziwa Alikuwepo Samwel Sitta,Kwa Maana ya KIRUMBA,Mbeya Alikuwepo Mama Anne Kilango,kwa Maana ya Kiwira, Arumeru Alikuwepo Mzee MKAPA,Mzee Mkama,Mzee Lowasa,Ndg yangu Nape ,Liziboni Dk Nchimbi na maaneo haya yote Tumeshindwa umewadia wakati Wa KUJITAFAKARI na kujiangalia kwa kina na si kuja na majibu Kama Yale tuliokuja nayo Baada ya Uchaguzi Mkuu 2010,Tunatakiwa kuja na MAJAWABU"
Hao kwenye red wasubiri zamu yao 2015. Hapo ndio mtakuwa mmepata majawabu sahihi na yaliyojitosheleza.
am sorry na maanisha bashe na si nape kama nilivyo andikanape si wewe ndo ulikuwa unatumiwa na kina el kwenye uchaguzi huu?na bado tulia unyolewe
Bashe CCM siyo Mungu kwako,siyo mama wala baba yako.Kama unadhamira ya dhati basi jiunge na wapambanaji wa kweli kwa lengo la kulikomboa taifa kutoka kwa mafarao wa CCM!Siyo leo unasema hivi halafu kesho unawaambia wandishi wa magazeti yenu na Tbc yenu kuponda ukweli!yuko wapi Tido Muhando?eti kisa alijitahidi kutoa wigo sawa wa habari wakati wa uchaguzi 2010!Magamba hamfai kabisa!