Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Tuheshimu hizi semi za wahenga... mfano; "if you can get a free milk", why keep a dairy cow?"...
Hii inawahusu sana wadada (probably na wanaume)
Jaribuni kuwa na mvuto, walau wanaume zenu wajisikie kuwamisi...
Unakuta mdada ni girlfriend tu, au mchumba basi...
kila siku yuko kwa mwanaume, kama mwanaume anakaa mwenyewe basi kila siku mdada anaenda kufanya usafi, kufua, kupasi, kupika nk, nk.
Kila siku mdada yuko pale, available for sex kwa staili na manjonjo yote...
Kila wikiendi mdada anashinda kwa mwanaume...
Akipigiwa simu hata saa sita za usiku, yupo radhi atoroke kwao, aende kwa mwanaume...
nk.nk...
Hata kama unampendaje mwanaume wako, jaribu kuonyesha kuwa unajiheshimu kama msichana ambaye hajaolewa, na mwanaume akitaka vyote, basi akuoe. Sisemi kwamba muwanyime sex, bali sio mnawapa hadi wanakinai... Sisemi kwamba msiende kwao, bali nendeni kwa ratiba, mkionyesha kuwa mna mambo mengine ya binafsi ya kufanya...
Unakuta mwanaume anakukinai kabla hajakuoa, unadhani atahamasika na nini kukuoa?
Mwanaume anataka mke mwenye maamuzi binafsi, sio anayefuata tu upepo wake...
Mwanaume anavutiwa kuoa mwanamke mbunifu, anayejituma... kama uko shule akikuita sometimes umwambie no, nina assignment au najisomea nk... Kama uko tu kwenu akikutaka kwake sometimes umwambie no, unawafundusha wadogo zako, au unajifunza kitu fulani, au unapika, au unaplan kuanzisha biashara yako...
Inatakiwa ucreate hali fulani ya mwanaume kukumiss, na kuona umuhimu wa kukuoa ili afaidi 100% ya kuishi na wewe...
Try to be available only for 30% ya mahitaji ya mwanaume kwako...
Hii inawahusu sana wadada (probably na wanaume)
Jaribuni kuwa na mvuto, walau wanaume zenu wajisikie kuwamisi...
Unakuta mdada ni girlfriend tu, au mchumba basi...
kila siku yuko kwa mwanaume, kama mwanaume anakaa mwenyewe basi kila siku mdada anaenda kufanya usafi, kufua, kupasi, kupika nk, nk.
Kila siku mdada yuko pale, available for sex kwa staili na manjonjo yote...
Kila wikiendi mdada anashinda kwa mwanaume...
Akipigiwa simu hata saa sita za usiku, yupo radhi atoroke kwao, aende kwa mwanaume...
nk.nk...
Hata kama unampendaje mwanaume wako, jaribu kuonyesha kuwa unajiheshimu kama msichana ambaye hajaolewa, na mwanaume akitaka vyote, basi akuoe. Sisemi kwamba muwanyime sex, bali sio mnawapa hadi wanakinai... Sisemi kwamba msiende kwao, bali nendeni kwa ratiba, mkionyesha kuwa mna mambo mengine ya binafsi ya kufanya...
Unakuta mwanaume anakukinai kabla hajakuoa, unadhani atahamasika na nini kukuoa?
Mwanaume anataka mke mwenye maamuzi binafsi, sio anayefuata tu upepo wake...
Mwanaume anavutiwa kuoa mwanamke mbunifu, anayejituma... kama uko shule akikuita sometimes umwambie no, nina assignment au najisomea nk... Kama uko tu kwenu akikutaka kwake sometimes umwambie no, unawafundusha wadogo zako, au unajifunza kitu fulani, au unapika, au unaplan kuanzisha biashara yako...
Inatakiwa ucreate hali fulani ya mwanaume kukumiss, na kuona umuhimu wa kukuoa ili afaidi 100% ya kuishi na wewe...
Try to be available only for 30% ya mahitaji ya mwanaume kwako...