Ma Papa/Matapeli wa kwenye soccer letu la bongo kwa sasa wananyea debe, nina Imani kuna siku hata hawa Ma papa wa kwenye music wetu watakuja juta.... Maana Fella na Huyu Babu Tale tale ni unyonyaji na dhuluma tu kwa wasanii wetu.. Fella kawatumia kina Yamoto Band and kawaacha njia panda kama yatima vile