Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kampuni ya Yono ambayo ni kampuni ya udalali na ile ya Majembe zote zinamilikiwa na wana CCM Maslahi.Wakati Yono inamilikiwa na Mbunge wa Njombe Magharibi, Yono Kevela. Majembe inamilikiwa na Seth Moto ambaye ni mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo mkoani Iringa.
Hizi kampuni mbili ndizo kampuni pekee za udalali ambazo hupewa tenda kubwa kubwa za kukusanya madeni ya serikali au kusimamia ukusanyaji wa fedha za serikali.
CCM mwakani haitatumia hela za EPA, lakini watu kama Majembe na Yono watatoa pesa ili chama chao kishinde waendelee kutafuna hela za walipakodi wa Tanzania.
Huu ni mtego mwingine,wadanganyika tumeshanasa!!!!!
Hizi kampuni mbili ndizo kampuni pekee za udalali ambazo hupewa tenda kubwa kubwa za kukusanya madeni ya serikali au kusimamia ukusanyaji wa fedha za serikali.
CCM mwakani haitatumia hela za EPA, lakini watu kama Majembe na Yono watatoa pesa ili chama chao kishinde waendelee kutafuna hela za walipakodi wa Tanzania.
Huu ni mtego mwingine,wadanganyika tumeshanasa!!!!!