Watu
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,472
Mlinzi gani atalinda mikeka??
Acha upuuzi.. Ila makka ya saudi arabia hailindwi ? Nangoja jibu lako
Ukifungwa msikiti habaki mtu ... kila mtu anakwenda lala ... nyumba ya mungu walinzi wa nini?
Mlinzi gani atalinda mikeka??
Acha upuuzi.. Ila makka ya saudi arabia hailindwi ? Nangoja jibu lako
mikeka na makopo ya kutawadha! nonsense!
I bet huko peponi kuna vyumba vya kufanyia sex sijui ngono na hao mabikira. Hivi haya mafundisho ni ya kweli aa ya kusadikika?
Una uhakika gani kama sio mchezo wa kuigiza kama vile tunapoambiwa mamilioni ya sadaka za makanisa ziliibiwa Mbagala?
Wahoji vizuri mkuu! yasitukute tena kama ya yale ya kuambiwa oh millioni 2 mara 4 mara 1 za sadaka "ziliibiwa" makanisani mbagala bila ushahidi wowote.
Hapo nilpoweka red! ..kazi tunayo.Trust me, kanisa la kkkt ninalosali lina sadaka si chini ya tshs 20 M per week. Waumini wamebarikiwa hasa na wanamtolea Mungu wao bila shuruti.
Unacheza na MoU wewe!Matola said:Hujui ulisemalo, hapa kuna ujenzi wa kanisa la ghorofa ndio unakamilika na katika kata hii hakuna hata Msikiti mmoja unaofikia thamani ya shillingi milllioni 5. War against crusaders will never succeed.
Doh makanisa yana lindwa na walinzi? doh! sijawahi ona mlinzi msikitini
Kanisa lenu waumini wake ni wabahiri sana only 20 millioni per week?
I see!!....Ukifungwa msikiti habaki mtu ... kila mtu anakwenda lala ... nyumba ya mungu walinzi wa nini?
HYDERABAD: Jumatul vida, the last Friday of the holy month of Ramzan, was observed amid tight security with more than 1.5 lakh people offering prayers at the Mecca Masjid amid tight security.Worshippers offered prayersHujui ulisemalo, hapa kuna ujenzi wa kanisa la ghorofa ndio unakamilika na katika kata hii hakuna hata Msikiti mmoja unaofikia thamani ya shillingi milllioni 5. War against crusaders will never succeed.
Yanalindwa sababu wao sio waleta vuruguDoh makanisa yana lindwa na walinzi? doh! sijawahi ona mlinzi msikitini
I see!!....
1.5 lakh namazis offer Friday prayers at Mecca Masjid
HYDERABAD: Jumatul vida, the last Friday of the holy month of Ramzan, was observed amid tight security with more than 1.5 lakh people offering prayers at the Mecca Masjid amid tight security.Worshippers offered prayers
in congregation, even as they spilled onto the streets with rows of the faithful stretching from Moghalpura to Madina Junction.
Tuko bize kujenga vyuo vikuu vingi zaidi mashule na mahospital, hatuna muda huo, misikiti mingi haizidi thamani ya zaidi ya shillingi millioni 5.naona imefikia wakati sasa wakristo na sisi tujiandae kuchoma msikiti mmoja moto unasemaje khs hilo
Yombo gani? mkuu kwani zipo myingikama nilivyoandika kwenye kichwa cha habari, nimepokea sms kwenye simu yangu ikielezea kuwa kuna watu wasiofahamika wamefika katika kanisa la yombo kkkt na kumjeruh mlinzi wa kanisa hadi kukimbizwa hospitali. Kwa maelezo ya ujumbe tukio limetokea muda huu.
Kwa wale walioko yombo naomba mtupe taarifa kama hii ni kweli
je ni watu gani hao?
Nia yao ni nini na/au kwa nini wamemjeruh mlinzi.
Nawasilisha
misikiti inalindwa na majiniDoh makanisa yana lindwa na walinzi? doh! sijawahi ona mlinzi msikitini
Tafsiri kwa kiswahili utapata maana, kwa ajili ya usalama wakati wa swala ... onyesha wapi imeandikwa walinzi walikuwepo ucku wa manane?
Tafsiri kwa kiswahili utapata maana, kwa ajili ya usalama wakati wa swala ... onyesha wapi imeandikwa walinzi walikuwepo ucku wa manane?