Yeyote anayehitaji vitabu anitafute

Yeyote anayehitaji vitabu anitafute

Daaa,, hii nayo kazi ya kumtoa mtu kimaisha? Mkuu huko kwenu Muheza si kuna ardhi yenye rutuba na mvua za kutosha? Pole sana!
Akili za Kigwangala hizi! Hivi ukikuta tu sehemu kuna shamba unaanza kulima! Hata kama sio lako, hata kama huna jembe, mbegu wala mbolea, wala soko!
 
Naomba unitafutie kitabu cha "ART OF WAR" kimeandikwa na Kiongozi mmoja wa China kama sikosei anaitwa "MAO"
Nimekuchek PM mkuu ili unipatie namba nikutumie kitabu husika.
 
Back
Top Bottom