babu Dark City hembu ongeo wewe mzee mwenzie. Sio kwamba landlord altaka kuona kipoch manyoya ya mjukuu kweli?
hahaha Heaven on Earth kunaumuhmu wa kuptia vpengele vya mkataba vizur kabla hatujapangshana.
Mimi siwaelewagi wanaume aiseeh, hivi utapelekaje mtu usiyekuwa na mpango naye kwako afu unaenda kulala nae kwenye kitanda unacholala na mkeo/mchumba/mpenzi wako?
Wababa wenyenyumba wote duniani wangekua km huyo Mzeee ,mbona maufoooo saro na mamushi yangezidi watu wangebastoliana!
heshima ingekuwepo pia
Umesahau kwamba mchawi akimalizana na wengine anaanza wanae??
Mtu wa namna hiyo siyo wa kuchekea kabisa.....akiona mitego haikamati hata walioshiriki naye kuweka hizo tricks anaweza kuwafanya chambo....
Acha kabisa kuchukulia mambo kirahi rahisi kiasi hicho mdogo wangu...
Babu DC!!
Mabinti zake walishamshinda siku nyingi anakuja kuingilia habari za mabinti wa watu.
Mi sitetei uovu lakini haiwezekani mi kodi nalipa uniingilie kiasi hicho aisee! How does one dare!
Hivi angekuta wanajisomea angesemaje?