Yesu sio Mungu

Hoja ya kijinga sana hii, watu wanaamini ni Mungu halafu we unakuja kupinga si Mungu, haya sasa muonesho huyo Mungu tumuone
Lete ushaidi Yesu ni Mungu sio uniambie watu wanaamini, wahindi wanaamini ng'ombe ndio mungu
 
Kwahyo chat GTO ndo reference Yako ww mwenyew unashindwa kuchambua na kutetea Yesu ni Mungu?
 
Nasema hivi mtu akija na hoja yeye mashiko kuwa Yesu ni mungu nampa laki 1 niliiweka kwenye kibubu kwa zaidi ya miezi mitatu, ntakupa akiba yangu yote.

Uje umekula mambo ya matusi, sijui roho mtakatifu usiyalete hapa leta hoja nzito

Arianism
Badala ya wewe "unayekana" kuthibitisha, unataka wengine ndio wathibitishe? Kanuni ya ushahidi inasema "he who claims must prove." Wewe ume'claim' kwamba "Yesu siyo Mungu". Thibitisha sasa!
 
Badala ya wewe "unayekana" kuthibitisha, unataka wengine ndio wathibitishe? Kanuni ya ushahidi inasema "he who claims must prove." Wewe ume'claim' kwamba "Yesu siyo Mungu". Thibitisha sasa!
Kwaheri
 
Yesu huyu huyu ambae alikuwa anajamba mifuzi kama sisi tu?
Alizaliwa, alihubiri injili, na kusema yeye ni "njia, ukweli na uzima" na kwamba yeye yuko "ndani ya baba yake, na baba yake yuko ndani mwake". Alifufua watu, aliponya wagonjwa, na aliwasamehe watu dhambi zao, na wengine aliwathibitishia wokovu (uzima wa milele). Aliteswa, akasulubiwa, na kufa msalabani. Akazikwa, siku ya tatu akafufuka, na akapaa mbinguni. Siku ya mwisho atarudi "kuwahukumu wazima na wafu". Je, na wewe una hizo sifa nilizozitaja hapo👆👆 juu?
 
Nasema hivi mtu akija na hoja yeye mashiko kuwa Yesu ni mungu nampa laki 1 niliiweka kwenye kibubu kwa zaidi ya miezi mitatu, ntakupa akiba yangu yote.

Uje umekula mambo ya matusi, sijui roho mtakatifu usiyalete hapa leta hoja nzito

Arianism
Sema hivi;
Yesu sio Mungu kutokana na Satanic Verses:
Lazima mada yako iseme hilo wazo limetoka wapi:
Maana wengine hawamjui kabisa huyo kiumbe Yesu, sasa watamsoma wapi ili wamjue ?

Na mimi nakuuliza
Huyo Yesu ni nani ?
Umemsoma wapi ?

Lete chanzo cha andiko lako:
Na chanzo cha kupinga au kukubali kwako:
La sivyo utaonekana mbumbumbu tu mbele ya wasomi:
 
Mkuu upo timamu kweli

Sisi tu wajinga kwa ajili ya Kristo, bali ninyi mna akili katika Kristo; sisi tu dhaifu, bali ninyi mna nguvu; ninyi mnaheshimiwa, bali sisi tunadharauliwa. (1 Wakorintho 4:10)

Maana neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu. Kwa maana imeandikwa,
Nitaangamiza hekima ya wenye hekima,
Na akili za wenye akili nitazikataa. Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mtesi wa dunia hii? Je, Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa upuzi? Maana kwa kuwa katika hekima ya Mungu dunia haikumjua Mungu kwa hekima yake, ilimpendeza Mungu kuwaokoa waaminio kwa upuzi wa ile habari njema. (1 Wakorintho 1:18-21)
 
Nasema hivi mtu akija na hoja yeye mashiko kuwa Yesu ni mungu nampa laki 1 niliiweka kwenye kibubu kwa zaidi ya miezi mitatu, ntakupa akiba yangu yote.

Uje umekula mambo ya matusi, sijui roho mtakatifu usiyalete hapa leta hoja nzito

Arianism
Kwanini yesu si Mungu!!
 
Hiyo ni Imani sio hoja
Nikikupa hoja sidhani kama utakua na uwezo wa kuelewa: Naomba soma hapa.

Maana neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu. Kwa maana imeandikwa,
Nitaangamiza hekima ya wenye hekima,
Na akili za wenye akili nitazikataa. (1 Wakorintho 1:18-21)

Hicho ndicho kitakacho kuzuia kuelewa.
 
Kumbe mungu anakufa?
Kwahiyo hizo siku alizokuwa amekufa nani alikuwa anatupa riziki?
 
Huu ni utoto!
 
Huu ni utoto!
Maana neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu. Kwa maana imeandikwa,
Nitaangamiza hekima ya wenye hekima,
Na akili za wenye akili nitazikataa. Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mtesi wa dunia hii? Je, Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa upuzi? Maana kwa kuwa katika hekima ya Mungu dunia haikumjua Mungu kwa hekima yake, ilimpendeza Mungu kuwaokoa waaminio kwa upuzi wa ile habari njema. (1 Wakorintho 1:18-21)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…