Kwahiyo Yesu amegawanyika sehemu ngapi? Katika kugawanyika huko je ana uwezo na mamlaka yaliyo kamili au ni tegemezi? Kama ni tegemezi je anamtegemea yupi zaidi ya yeye mwenyewe...Yesu alikua 1oo% GOD na 1oo% Human akiwa duniani mkuu sasa inategemea na circumstances ndo tunaweza kujua alikua katika Hali gani
Kumbukumbu la Torati 21: 22-23Amelaaniwa yeyote atundikwae msalabani.Ngoja ntafute hilo andiko liko mstari gani kisha tujiulize kama Mungu anaweza kulaaniwa
Tatizo unabandika maandiko mengi kwa wakati mmoja. Weka moja kwanza upate ufafanuzi. Hilo swala la yesu kusema kwamba mimi na baba ni wamoja au aliyeniona mimi kamuona baba. Yesu hakumaanisha kuwa ni wamoja kiuungu bali ni wamoja kimafundisho. Yesu alitumwa na Mungu hivyo anachonena ndio kile kile alichoagizwa na Mungu.UKITAKA HATA USHAHIDI WA QURAN SEMA NIKUPE!!!..
Watu wa israel walimuona sura ya Yesu na pia hata sauti yake pia. Lakini sio sura ya Mungu na sauti ya Mungu hawakusikia.UKITAKA HATA USHAHIDI WA QURAN SEMA NIKUPE!!!..
PiaKumbukumbu la Torati 21: 22-23
Ni CheoNauliza tu; Mungu ni nini?
pole sana chaka uliloingia kutoka ni vigumu sanaYesu ni Mungu kweli na mtu kweli....Hivyo alikuwa ana-switch Uungu na ubinadamu alipokuwa hapa duniani.....
Paulo anaweza kua sawa tu,kwa MUNGU yote yawezekana kama alivyoweza kumtengeneza popo.wengine wanamuita ndege na wengine humwita mnyama.yamkini YESU alikua BINADAMU na MUNGU pia