tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Ndani ya boti,watu rangi tofauti walikua na mizigo,meli ikazidiwa na ikabidi mizigo ipunguzwe.
Mzungu akatupa computer, akasema "kwetu zipo tele"
Mchina akatupa box la simu
akasema"kwetu zipo tele"
Muhindi Akamwaga kiroba cha tambuu akasema kwetu zipo kibao,
Mmasai akatupa shanga......
Mchaga anahaha hajui atupe nini kila kitu chake anakionea uchungu ,ghafla akamsukumia Mmasai akasema"Yesu na maria hawa wapo tere ARUSHA".
Mzungu akatupa computer, akasema "kwetu zipo tele"
Mchina akatupa box la simu
akasema"kwetu zipo tele"
Muhindi Akamwaga kiroba cha tambuu akasema kwetu zipo kibao,
Mmasai akatupa shanga......
Mchaga anahaha hajui atupe nini kila kitu chake anakionea uchungu ,ghafla akamsukumia Mmasai akasema"Yesu na maria hawa wapo tere ARUSHA".