Yeye mwenyewe naye hajui lini atarudi tena?!
Vipi kuhusu mwaka au miaka ?Imeandikwa...
Mathayo 24
36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.
37 Kwa maana kama vile ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
Unabii wa kitabu gani huu mkuu!Atarudi kabla ya siku 3 kukamilika
Vipi kuhusu mwaka au miaka ?
Kesho🤔Ni miaka 2000 sasa Yesu Kristo anasuburiwa kurudi kama alivyohaidi katika Mathayo 24.
Mbona hakuna dalili ya kurudi kwake kabisa kuja kuwachukua watu wake (kanisa) au kufa ?
Dunia haina muelekeo na mahesabu kabisa ya Yesu kurudi!