FuturePresident
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 321
- 54
Wee kaaa chini!
KILAZA: hatujawahi na kilaza wa aina hii toka tupate Uhuru.jamani ni kichekesho kuwa na rais mwenye mitazamo ya ajabu! unawezaje kuzidiwa katika kutoa maamuzi na waziri mkuu wako au spika wa bunge? hivi huyu mr president anamawazo ya aina gani? inatia uchungu kuwa na kiongozi ambae hajui hata ndani ya nyumba yake kuna nini
Kama ulimsikiliza mama jana, yeye kinachomsikitisha ni kuwa Watanzania wanadanganywa na waandishi wa habari, kuwa wabunge wetu wanachukua posho siku 365 za mwaka, ndicho kinacho muuma, anasema '' Jamani hizi posho ni za siku tano tu kwa wiki na kipindi ambacho tuko hapa Dodoma kwenye maisha magumu''
jamani ni kichekesho kuwa na rais mwenye mitazamo ya ajabu! unawezaje kuzidiwa katika kutoa maamuzi na waziri mkuu wako au spika wa bunge? hivi huyu mr president anamawazo ya aina gani? inatia uchungu kuwa na kiongozi ambae hajui hata ndani ya nyumba yake kuna nini
Jakaya mrisho kikwete hamuhitaji pinda katika safu ya uongozi wake......na hi inatokana na pinda kutokujua majukumu ya kazi zake....sasa hivi jk ameamua kumuadhibu pinda kwa kumuaibisha kwa wananchi kwa kila kitu pinda atakachosema basi ikulu itatoa tamko la kupinga.....kuna mamabo kama matatu ambayo ikulu tayari imeyakanusha mara baada ya kutolewa na pinda...pinda anapaswa kutambua hilo hatakiwi na hajui majukumu yake
Zimeongezwa bila idhini ya rais wa jamhuri :lol:
Yes we are! Vinginevyo tukiulizwa "je posho za vikao vya wabunge zimeongezwa?" Tutajibu vipi?
Ukweli ni kwamba ikulu na bunge wameamua kucheza mchezo wa kutupiana maneno ili kujaribu kuukwepesha ukweli mbele ya watanzania(this is the way they always use to operate...lets don't forget this)....ukweli unabaki pale pale.....wanalipana 200,000 kama posho za vikao bungeni (be it rais kasaini or not)..period....Yes we are! Vinginevyo tukiulizwa "je posho za vikao vya wabunge zimeongezwa?" Tutajibu vipi?
Akisema ameidhinisha wenzake ndani ya chama hawatamuelewa!! ni bora kibakie kitendawili wakati mambo yanaendelea gizaniI have no idea, who is the most stupid person of all the time????? ukifatilia swala la posho utamjua!!!!!
Kama ulimsikiliza mama jana, yeye kinachomsikitisha ni kuwa Watanzania wanadanganywa na waandishi wa habari, kuwa wabunge wetu wanachukua posho siku 365 za mwaka, ndicho kinacho muuma, anasema '' Jamani hizi posho ni za siku tano tu kwa wiki na kipindi ambacho tuko hapa Dodoma kwenye maisha magumu''