sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Russia Russia mrusi anapelekwa moto
Yerico Nyerere tunaomba mwongozo.
Ukiona ata demu unamfuatilia mda mrefuu humpati basi ulishashindwa kikubwa nikuachana naye. Russia hii vita Alisha bugii mda mrefuu. Mm nazidi kumshauriii aaachane na hii vita arudii nyumbaniiii ajipange tenaa. Mwaka mazima hajatoboa mraba. Ameshindwaa saanaRussia Russia mrusi anapelekwa moto
Yerico Nyerere tunaomba mwongozo.
Warussia watapita tu kama ilivyokiwa 1991 na 1993 MoscowRussia Russia mrusi anapelekwa moto
Yerico Nyerere tunaomba mwongozo.
Putin yupo sana tuTatzo hv vita watu walilileta ushabiki wa simba na yanga.. wengine wakaingiza na udini ndani yake, lkn hawakujaribu kukumbuka matukio ya nyuma kuhusu mmarekani...ukiona mmarekani katia mguu kwenye vita yyte bc jua hiyo vita kashaifanyia research ya kutosha na ushindi kashajua ataupata dk ya ngp ya mchezo... enzi za Putin zinaenda kutamatika rasmi very soon
Anaweza kuendelea kuwepo lkn akawa nje ya utawalaPutin yupo sana tu
Ova
Russia Russia mrusi anapelekwa moto
Yerico Nyerere tunaomba mwongozo.
Russia Russia mrusi anapelekwa moto
Yerico Nyerere tunaomba mwongozo.
Yeye yupo zake mbutu kigamboni anajisomea vitabu vyake mwenyewe