GE2025 Yericko Nyerere achukua fomu kuwania Ubunge Kigamboni, ahaidi kufanya mabadiliko

GE2025 Yericko Nyerere achukua fomu kuwania Ubunge Kigamboni, ahaidi kufanya mabadiliko

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Yericko Nyerere amechukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni mkoani Dar es Salaam

Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu kwa msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Kigamboni, Yericko amesema kuwa Wanakigamboni wanahitaji mabadiliko, na kwamba katika uchaguzi huu yeye ana ajenda zake kuu tano, ambazo ni: miundombinu ya barabara, tozo ya daraja uingiapo na utokapo Kigamboni, gharama za maisha, huduma za afya, na ajira kwa vijana

Amesisitiza kuwa hayo ndio mambo anakwenda kuwaeleza Wanakigamboni kwamba wakimchagua atayatilia mkazo zaidi

1756204696486.png
 
Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Yericko Nyerere amechukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni mkoani Dar es Salaam

Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu kwa msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Kigamboni, Yericko amesema kuwa Wanakigamboni wanahitaji mabadiliko, na kwamba katika uchaguzi huu yeye ana ajenda zake kuu tano, ambazo ni: miundombinu ya barabara, tozo ya daraja uingiapo na utokapo Kigamboni, gharama za maisha, huduma za afya, na ajira kwa vijana

Amesisitiza kuwa hayo ndio mambo anakwenda kuwaeleza Wanakigamboni kwamba wakimchagua atayatilia mkazo zaidi

haya Bwana! Let us wait and see
 
Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Yericko Nyerere amechukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni mkoani Dar es Salaam

Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu kwa msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Kigamboni, Yericko amesema kuwa Wanakigamboni wanahitaji mabadiliko, na kwamba katika uchaguzi huu yeye ana ajenda zake kuu tano, ambazo ni: miundombinu ya barabara, tozo ya daraja uingiapo na utokapo Kigamboni, gharama za maisha, huduma za afya, na ajira kwa vijana

Amesisitiza kuwa hayo ndio mambo anakwenda kuwaeleza Wanakigamboni kwamba wakimchagua atayatilia mkazo zaidi

downloadfile.jpg
 
Hahahaaanaa
Upinzani Tz bara nje ya jukwaa la chadema ni kichekesho, hata Yerico ndani ya nafsi yake anajua fika hawezi pata ubunge Kigamboni!
 
Huwezi kushika dola bila kushiriki uchaguzi.Huwezi kufanya mabadiliko unayoyataka kama hushiriki uchaguzi ili ushike dola
Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Yericko Nyerere amechukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni mkoani Dar es Salaam

Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu kwa msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Kigamboni, Yericko amesema kuwa Wanakigamboni wanahitaji mabadiliko, na kwamba katika uchaguzi huu yeye ana ajenda zake kuu tano, ambazo ni: miundombinu ya barabara, tozo ya daraja uingiapo na utokapo Kigamboni, gharama za maisha, huduma za afya, na ajira kwa vijana

Amesisitiza kuwa hayo ndio mambo anakwenda kuwaeleza Wanakigamboni kwamba wakimchagua atayatilia mkazo zaidi

 
Tozo za daraja Kigamboni zikiondolewa pesa iliyoingizwa na NSSF kwenye ujenzi itarudi vipi?
 
Ka shushushu ka mwenyekiti kalikoshindwa kunusa anguko la ka boss kake kabla....
Kajamaa kanaishi mjini ki ujanja ujanja...
 
Back
Top Bottom