Huyo jamaa aliku-hypnotize! Ni mbinu ya juu ya kitapeli.
dah,asante kwa
angalizo na pole kwa yaliyokukuta. me huwa nina tabia moja, sipendi
kujuana juana. mwisho wa siku wanaanza kunambia kuwa najisikia,mara
naringa lakin ukweli unabaki pale pale!
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!, pole sana
kilicho kuponza nipale ulipo kubali kukutana nae kwa mara ya 2 yeye ndio alijipanga na hiyo PODA huweka mkononi kwahiyo ukimpa mkono 2 kosa sasa wakati wa kunywa mkono hua unukuja PUANI..Pale huvuta halufu pole pole kupitia kwenye MKONO wako mwenyewe.bila kujijua ukuvut *4 tu usalama mdogo kinicho fuata kuku ongelesha sana kuhukiki kama umeisha LEWA pole ndio mjini hacha TAMA hakuna maisha rahisi kupitia mtaani tu..