Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Kipindi cha huu wimbo una hit ulikuwa either bado hujazaliwa au bado mdogooo!Eiyer.... Waachani watoto wadogo waje
Kwangu maana ufalme .........
Usiku mwema.
Kipindi cha huu wimbo una hit ulikuwa either bado hujazaliwa au bado mdogooo!Eiyer.... Waachani watoto wadogo waje
Kwangu maana ufalme .........
Usiku mwema.
nimekupata tupo pamoja mkuu.dah!nimechemsha kujieleza,ni 2likua ha2jafikiriwa kuzaliwa.
wee! Hiyo list ukija kuweka sasa na zile za reggae za alpha brond.na wimbo wake wa jamaica.na kulikuwepo na wimbo mmoja nimeusahau kidogo embu jaribu kuukumbuka (makret ya soda.,...cret za soda.......cret za soda mamaa.......) kwa tafsri ya utotoni nadhani utaukumbuka.Wakati umeenda wapi jamani loh! Enzi hizo huo wimbo nakumbuka kila mtu alikuwa akiuimba ajuavyo... Hadi raha yani! Kulikuwa pia na London Beat, Black Box, Mob house, Mob masters nk.. Ilikuwa raha! Tulikuwa tunaruka debe kiuhakika!! Mzee Ruksa ndo anaingia madarakani na video zikaingia...! Nashanga vijana wa siku hizi video zipo na hawajui kucheza wamebaki kujitingisha huku mkono umeshika Mbeleni..!! Sisi hakukuwa na video na tulijua kuruka majoka!! Ha ha ha ha ha.
Mwehh nilisha ona duniaKipindi cha huu wimbo una hit ulikuwa either bado hujazaliwa au bado mdogooo!
Ilikuwa raha Mkuu! Unakumbuka radio za wakati huo Player (chenja)? Na badae zikaja radio za tape (kaseti) na redio aina ya Hitachi double spiker, JVC, zikaja Lasonic double deck zikiwa na spika za kuchomoa kila upande.! Hizi Lasonic sijaona mbadala wake kwa umadhubuti. Wale wanaozifahamu watakubaliana nami. Umeme wa betri ya gari kutoka YUASA. Raha raha raha ilikuwa!wee! Hiyo list ukija kuweka sasa na zile za reggae za alpha brond.na wimbo wake wa jamaica.na kulikuwepo na wimbo mmoja nimeusahau kidogo embu jaribu kuukumbuka (makret ya soda.,...cret za soda.......cret za soda mamaa.......) kwa tafsri ya utotoni nadhani utaukumbuka.
Dogo huo wimbo wa alfa blond hauitwi Jamaica,unaitwa Afriki!wee! Hiyo list ukija kuweka sasa na zile za reggae za alpha brond.na wimbo wake wa jamaica.na kulikuwepo na wimbo mmoja nimeusahau kidogo embu jaribu kuukumbuka (makret ya soda.,...cret za soda.......cret za soda mamaa.......) kwa tafsri ya utotoni nadhani utaukumbuka.
Bado bado kidogo..Usiku mwema????Kuwekucga AD,amka ufanye mazoezi!
Mkuu! Nyingi ya hizi nyimbo tulikuwa hatuzijui kwa majina halisi. Hasa kwa sisi tuliokuwa vijijini wakati huo.Dogo huo wimbo wa alfa blond hauitwi Jamaica,unaitwa Afriki!
acha!acha kabisa.kuna dj mmoja alikuwa anaitwa chongo huyo dj alikuwa anazunguka tz nzima akipiga disco.akiwa na kina black moses. Hapo unanikuta nami nimepiga pamba zangu za ukweli.sulu ndeefu mpaka kifuani tulikuwa tunaita mtambo,viatu clipper,na shati la bahama au uji uji, na sun gogos weee!Ilikuwa raha Mkuu! Unakumbuka radio za wakati huo Player (chenja)? Na badae zikaja radio za tape (kaseti) na redio aina ya Hitachi double spiker, JVC, zikaja Lasonic double deck zikiwa na spika za kuchomoa kila upande.! Hizi Lasonic sijaona mbadala wake kwa umadhubuti. Wale wanaozifahamu watakubaliana nami. Umeme wa betri ya gari kutoka YUASA. Raha raha raha ilikuwa!
MmhhhhhTuache tu hapo hapo.Acha uvivu!Au usiku ulikuwa mrefu?
Na mtindo maarufu wa nywele kwa vijana ulikuwa ni Punk! Umenifanya nianze kupekua makabrasha ya picha zangu za enzi hizo. Niliweka punk kama ile ya Shabba Ranks na nilijulikana kwa jina hilo kunako maeneo yangu... Weweeee!! Acha hiyo maneno. Nilikuwa natoka kijijini naenda mjini (wilayani)mwendo wa miguu takriban 30km! kulikuwa na fundi mmoja matata alikuwa anaweza kunyoa hiyo kitu kama ya Shabba Ranks tena kwa mkasi na wembe Topaz! Ukimwi ulikuwa ndo kwanza unaingia mijini. Vijijini habari hatuna, tunakula maini kiulaiiini...!acha!acha kabisa.kuna dj mmoja alikuwa anaitwa chongo huyo dj alikuwa anazunguka tz nzima akipiga disco.akiwa na kina black moses. Hapo unanikuta nami nimepiga pamba zangu za ukweli.sulu ndeefu mpaka kifuani tulikuwa tunaita mtambo,viatu clipper,na shati la bahama au uji uji, na sun gogos weee!