Yawahusu wanawake wa jf tu

Yawahusu wanawake wa jf tu

nimeshawatumia pm zao ngoja niwasikilize kwanza wakuu kisha tutajua la kufanya jamani waungwana ni uvumilvu tu unatakiwa
Itawezekana tu hata tukiwa mtu 4. Tusikubali mapungufu yetu yawe chanzo cha kutugawa bandugu. Ngoja tusubiri ruhusa ya wenye ukumbi ndo tutandike jamvi letu manake waweza nunua jamvi ukakosa pa kulitandika....
 
kwwa mara ya kwanzalitakuwa online na tukiona limekuwa sasa tutaweka mikakati mingine ya kufikiana sisi kwa sisi kwani lina mpango mzuri wa kufahamiana na kuleta uhusiano mzuri kwani uhusiano mzuri hujengwa mawasiliano, maafikiano, na umoja pia sijui hapo umeshanielewa best
lady furahia.. Samahani mami.. Kwa ulivyofikiri hilo group unategemea liwe ni la online au .. Litahusisha kuonana face to face!!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
uko pande zipi hapa Tanzania kwa hapa map bearing.jpg
upo nchi gani? simiyu ni mkoa wa tz
 
Samahani best kwani id za humu mjengoni haizieleweki waweza kumuweka mtu ukajua f na kumbe m sasa hapo unaleta balaa ila usijali kabisa wakaribishwa kujiunga uwepo wake tu
umeona eeh, wanawake wa jf mmu wanajuana
 
Ndugu yangu mikoa imeongeezeka mpaka kujua inakuw a tabu hili jukwaa litakuwa ni la wote mkoa yote bara na visiwani uwepo wako tu ndo unahitaji best usijali
ladyfurahia hata simiyu huijui, nadhani hilo jukwaa litakuwa la wanawake wa bongodalesalamu tu cc tulioko katavi sijui kama litatufaa
 
Back
Top Bottom