Yawahusu wanawake wa jf tu

Yawahusu wanawake wa jf tu

Itawezekana tu hata tukiwa mtu 4. Tusikubali mapungufu yetu yawe chanzo cha kutugawa bandugu. Ngoja tusubiri ruhusa ya wenye ukumbi ndo tutandike jamvi letu manake waweza nunua jamvi ukakosa pa kulitandika....
 
Hahahaha eti myatue!
Poleni sana bila shaka inabidi mvumiliane.
Sio wote huwa wanafanya hivyo, hivi unawajua wanawake au unawasikia?????????tuna mengi migongoni mtuache tu, hata ukikohoa tabu, ukijikuna itakuwa tabu pia. La muhimu tuyatue ndio twende kwa umoja huu la sivyo yatatushinda
 
lady furahia.. Samahani mami.. Kwa ulivyofikiri hilo group unategemea liwe ni la online au .. Litahusisha kuonana face to face!!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
mimi mwenyewe simo kabisa.watu wana tabia tofauti,ugomvi sijauzoea.kuna mdada mmoja humu,alichukua kitu cha mtu na hakulipa{ni mtu maarufu tu}na huwezi kumdhania kutokana na michango yake.sasa jee mambo ya kukutana mwanzo yataenda vizuri,baadae yatakuwa ndio hayo hayo.wanawake tunajuana.wapo watu wenye mioyo mizuri,na wapo watu waharibifu.na usidhani kila anae comment vizuri au comment zilizoenda shule ukadhani in real life mtu yupo hivyo.sio wote wako hivyo.{mfano huyo dada tu sikutegemea}ila nina amini watu wapo ambao wenye mawazo mazuri kwenye comment na in real life wako hivyo.nampa big up Ashadii
Heee kuna watu wako hivyo duuuh. Anyway binadamu wana mengi na tabia haina dawa. Nadhani swala la kukutana ni gumu kidogo lkn kuwa na jukwaa la wamama/wadada nadhani ingependezaa
 
Sitaki kumjua mtu jf na tusiijuane!kwa muda ambao mpaka sasa simjui mtu sijapungukiwa na kumjua mtu sitaongezeka chochote.
 
....nyie wanawake si ndo hampendani nyie.....??
.. Passion Lady waonaje.?

Samahani ku intrude..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom