Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,379
Na ya nyumbani kwako kuwa umepanga chumba kimoja Tandale kwa mfuga mbwa yanasambazwa PM
Inahu??
nakuhakikishia hivi, yote hayo yataongelewa, unajifanyaga na kizungu chako humu kumbe kongosho mwenyewe ndio yule, khaa, umeshafika kwake sasa, ambavyo hajui kuvaa sasa, mbona anakosoaga wenzie sana kule kumbe mwenyewe ndio yule,sijui nini na nini, labda wanawake wa JF wameshushwa na Bikira Maria, kama ni hawa hawa wa ardhi/dunia hii, wacha wengine tubakie ki JF zaidi, mana tutajiongezea maadui wasio na lazima kabisa, wengine uvumilivu umetushinda, leo kongosho umeniropokea hovyo nimejua kesho nakupita kama ambulance inawahisha mahtuti KCMC,ukitoka hapo unaenda kuchonga umepitwa, wanawake tuna mambo mengi sana ya ajabu ajabu, kisa kitu gani?