Kukosekana kwa baadhi ya vichwa ktk bunge lijalo la Sep 2016 tutakosa mengi mazuri.
Labda niseme tu huenda ilipangwa kuwaondoa, kwani ukisikia adhabu walizopewa na ukilinganisha makosa walofanya utaona hakuna uwiano.
Kuna ule msemo wa 'funika kombe mwanaharamu apite' . Maana ya ndani kabisa ya msemo huu ni kukubali kufanya au kufanyia jambo usilo lipenda ili kizuia hatari balaa au madhara zaidi.
Kamati ya bunge ya
PAC na LAAC kwenye kikao cha bunge mwezi sep 2016, Pamoja na taarifa nyingine pia itajadili MABILIONI YA Posho walizojimegea baadhi ya watumishi kama HAKI yao ya msingi kwao.
Mfano, Mamlaka ya Ustawishaji Mji wa Dodoma (CDA) mwaka 2015 ilitumia Sh. milioni 124 kwa kufanya vikao sita pekee.
Bodi ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ambayo mwaka 2015 ilitumia Sh. milioni 250 kwa ajili ya vikao.
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imetumia Sh. bilioni 15 kwenye shughuli za uendeshaji kiasi kikubwa kikiwa ni posho.
Katika hesabu za bodi hiyo, baadhi ya posho zilizowakera wabunge hao ni pamoja na ile iliyopewa jina la posho nyinginezo (other payroll allowance) ambayo mwaka ulioishia Juni 30, ilitumika Sh. milioni 999.45
Posho nyingine inayoitwa posho maalum (special allowance) kwa mwaka 2015 ilikuwa Sh. milioni 582.05.
Posho nyingine iliyoishtua kamati hiyo ni ile ya mahusiano na ukarimu (relationship and hospitality) ambayo kwa mwaka 2015 ilikuwa Sh. milioni 296.77
Jumla ya posho kwa taasisi tatu pekee ni 17bl.
Ukisoma taarifa yote utagundua kuwa kuwa umuhimu wa huyu jamaa ashirikiane na wale anaowaona ni maaduli ili kuirejesha nchi kwenye mstari kwani Kuwa waluokunnywa maji ya bendera wataona hizi ni porojo tu.
Source
Ukawa waja na siri nzito bungeni
Labda niseme tu huenda ilipangwa kuwaondoa, kwani ukisikia adhabu walizopewa na ukilinganisha makosa walofanya utaona hakuna uwiano.
Kuna ule msemo wa 'funika kombe mwanaharamu apite' . Maana ya ndani kabisa ya msemo huu ni kukubali kufanya au kufanyia jambo usilo lipenda ili kizuia hatari balaa au madhara zaidi.
Kamati ya bunge ya
PAC na LAAC kwenye kikao cha bunge mwezi sep 2016, Pamoja na taarifa nyingine pia itajadili MABILIONI YA Posho walizojimegea baadhi ya watumishi kama HAKI yao ya msingi kwao.
Mfano, Mamlaka ya Ustawishaji Mji wa Dodoma (CDA) mwaka 2015 ilitumia Sh. milioni 124 kwa kufanya vikao sita pekee.
Bodi ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ambayo mwaka 2015 ilitumia Sh. milioni 250 kwa ajili ya vikao.
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imetumia Sh. bilioni 15 kwenye shughuli za uendeshaji kiasi kikubwa kikiwa ni posho.
Katika hesabu za bodi hiyo, baadhi ya posho zilizowakera wabunge hao ni pamoja na ile iliyopewa jina la posho nyinginezo (other payroll allowance) ambayo mwaka ulioishia Juni 30, ilitumika Sh. milioni 999.45
Posho nyingine inayoitwa posho maalum (special allowance) kwa mwaka 2015 ilikuwa Sh. milioni 582.05.
Posho nyingine iliyoishtua kamati hiyo ni ile ya mahusiano na ukarimu (relationship and hospitality) ambayo kwa mwaka 2015 ilikuwa Sh. milioni 296.77
Jumla ya posho kwa taasisi tatu pekee ni 17bl.
Ukisoma taarifa yote utagundua kuwa kuwa umuhimu wa huyu jamaa ashirikiane na wale anaowaona ni maaduli ili kuirejesha nchi kwenye mstari kwani Kuwa waluokunnywa maji ya bendera wataona hizi ni porojo tu.
Source
Ukawa waja na siri nzito bungeni