gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,572
38
Kwani kichwa cha habari kimesemaje?Nikipatia unataka kunipa nini mkuu...?
Yaan wewe ununue tu mawani makubwa kama ya A Makala, maana uko hatarini mkuu.
We utakuwa kipofu sena hujijui.7000
Hahahaaza....Mkuu unakaribia kuwa kipofu.
Bila shaka una macho ka ya Cyborg hafu Makengeza...7000
We jamaa unaweza ua mtu kwa vituko, saa tano kasolo nimebwatuka kwa cheko mpaka jirani kazima redio, anauliza kulikoniTafuta miwani mapema.!