Haahaha! Wacha watie moyo si tunakanyaga tu hahah🤣🤣🤣🤣Sikusemei wewe wewe nimkatishaji tamaa minamsemea TO YEYE sio wewe
Kua mpole tuMasaa 72 hayajaisha acha basiiiii utani
Unajitia moyo 🧐🧐🧐 ngoja tucheki kisipo jibu sperm count == 0Ila cku zote mkuu dua la kuku halimpati mwewe poleee
Afu ukiitafuta haijiHalafu sijui kwanini kitu ambacho hutaki kitokee ndio kinatokea
😂😂😂😂😂 Kaka kila raheri maan naona kibendi ukitaki unakitakaHahahaaaaaa never happen endelea kuombea wenzio mabaya yatakupata wewe
Nadhani hofu inaongezaga speed ya mbegu kurutubishwaYaani balaaa cjuwi huwa ninini tuu
Asante sanaKADADA ASANTEEE KWA USHAURI WAKO MAMBO YAKO VIZURI
The power of attraction.... what you resist persistHalafu sijui kwanini kitu ambacho hutaki kitokee ndio kinatokea
Jiandae kulea.... Full packageHabari doctor's wa jf,naomba kuuliza Jana saa tisa mchana dada ametumia dawa ya p2 akaambiwa baada ya masaa kumi na mbili atumie kingine maana aliambiwa ameze kimoja kimoja.
kwahiyo alipomeza kimoja hiyo Jana mchana saa tisa ilitakuwa ameze kingine saa tisa ucku,Sasa kajikuta kachelewa kashtuka saa kumi na mbili alfajiri ndio kameza cha pili jeeee kunatatizo lolote hapo?
Au dawa haitafanya kazi inavyotakiwa??? Naomba msaada wapendwa wa jf
Jiandae kulea hachomoki huyo
Nduuuh!! C useme kuwa ulikuwa ni ww!?Mpenzi yeye alifanya tendo ucku wa kuamkia Jana kwahiyo Jana ndio kameza kimoja mchana chapili alikuwa anameza saa tisa ucku kajisahau kashtuka saa 12 alfajiri akameza kwahiyo hapo kapitisha masaa Kama mawili nasehemu ndio kameza kidonge cha pili au arudie dozi ingine????