Ki 'science' maji ya mvua si maji salama kwa kuwa yana pH ya 5.6 - 5.0, hivyo yapo 'slight acidic' yakiwa hayana madhara makubwa kwa matumizi ya kawaida kwa binadamu,
Hivyo mkuu wee endelea tuu kugonga maji ya mvua bila wasi wasi wowote......
Ki 'science' maji ya mvua si maji salama kwa kuwa yana pH ya 5.6 - 5.0, hivyo yapo 'slight acidic' yakiwa hayana madhara makubwa kwa matumizi ya kawaida kwa binadamu,
Hivyo mkuu wee endelea tuu kugonga maji ya mvua bila wasi wasi wowote......