Yanga yanasa vifaaa vitatu toka Ghana

Yanga timu pekee yenye kufanya mambo yake kwa weledi mkubwa na akili nyingi imefanya kufuru kwa kusajiri wachezaji watatu wa kimataifa kutoka nchi Ghana.

Wachezaji nao ni wachezaji tegemewa kwenye kikosi cha timu yao ya taifa.

Habr za uhakika zinasema mmoja ya wachezaji hao ni beki kisiki asiyepitika wakati mmoja ni mfungaji wakutumainiwa na aliyesalia ni kiungo mkabaji wa uhakika.

Kila kitu kitawekwa wazi baada muda mfupi.

Yanga mbele daima nyuma kwetu mwiko.
Wachezaji wote wa Black stars wanacheza nje sasa tujulishe timu walizotoka huko ulaya
 
Hela za Mo hawajui kumbe wanaendelea kupunguza hela ya kuiuza simba mpk sasa washatumia 3b ukiongezea na mishahara ya mwakani yote watakuwa wamechukua 10b no anawaongezea 10b anaichukua simba.
Tulia wewe mnyama atatisha
 
Vyvyote vile bado naamini yanga itakuwa na kikosi bora maana hawana papara, huyo Niyonzima na Ngoma hawana kitu so special kama wanavyo kuzwa na vyombo vya habari ....mtani endelea na mbwembwe ila jiandaea maana bila mishahara hao watauza timu
Vyombo hivi vyeupe kama madebe tupu ndo maana vina kelele sana
 
Yanga timu pekee yenye kufanya mambo yake kwa weledi mkubwa na akili nyingi imefanya kufuru kwa kusajiri wachezaji watatu wa kimataifa kutoka nchi Ghana.

Wachezaji nao ni wachezaji tegemewa kwenye kikosi cha timu yao ya taifa.

Habr za uhakika zinasema mmoja ya wachezaji hao ni beki kisiki asiyepitika wakati mmoja ni mfungaji wakutumainiwa na aliyesalia ni kiungo mkabaji wa uhakika.

Kila kitu kitawekwa wazi baada muda mfupi.

Yanga mbele daima nyuma kwetu mwiko.
Watani wameamua kutumia kanuni ya 'Heri shetanii unayemfahamu kuliko malaika usiyemfahamu'.

Wanadai kuwa haiwezekani Yanga wachukue ubingwa mara 3 mfululizo utafikiri wanacheza peke yao. Kwa kipindi kirefu Hanspope na wenzake wameshindwa kabisa kupata wachezaji ndani na nje ya nchi wenye uwezo wa kuipatia Simba kombe. Hebu angalia wachezaji kama akina Sserunkuma na wenzake hawakufua dafu. Wakamkumbuka Hamisi Kiiza aliyecheza kwa mafanikio akiwa Yanga naye hakufua dafu. Wakamleta Okwi akaishia kupata mabao 4 tu dhidi ya Yanga na kombe 1 kati ya 4 kwa muda wote aliocheza Simba. Wakatuaminisha kwamba kuna mtu anaitwa Kiongera, akija huyo Yanga kwishney! Huyo naye hakufua dafu. Wakajinasibu kuwa Mavugo ndiyo mwisho wa yote, baada ya kucheza msimu mmoja wote tunaufahamu uwezo wake.

Baada ya juhudi zote kushindikana, sasa mnyama kaamua kuingia kwenye kundi la timu ya wananchi na Azam pamoja na kurudia matapishi ya Okwi akiamini wachezaji hao watampa kikombe.

Haijafahamika wakikosa kikombe sijui hali itakuwaje!!!;););););););)
 
Watani wameamua kutumia kanuni ya 'Heri shetanii unayemfahamu kuliko malaika usiyemfahamu'.

Wanadai kuwa haiwezekani Yanga wachukue ubingwa mara 3 mfululizo utafikiri wanacheza peke yao. Kwa kipindi kirefu Hanspope na wenzake wameshindwa kabisa kupata wachezaji ndani na nje ya nchi wenye uwezo wa kuipatia Simba kombe. Hebu angalia wachezaji kama akina Sserunkuma na wenzake hawakufua dafu. Wakamkumbuka Hamisi Kiiza aliyecheza kwa mafanikio akiwa Yanga naye hakufua dafu. Wakamleta Okwi akaishia kupata mabao 4 tu dhidi ya Yanga na kombe 1 kati ya 4 kwa muda wote aliocheza Simba. Wakatuaminisha kwamba kuna mtu anaitwa Kiongera, akija huyo Yanga kwishney! Huyo naye hakufua dafu. Wakajinasibu kuwa Mavugo ndiyo mwisho wa yote, baada ya kucheza msimu mmoja wote tunaufahamu uwezo wake.

Baada ya juhudi zote kushindikana, sasa mnyama kaamua kuingia kwenye kundi la timu ya wananchi na Azam pamoja na kurudia matapishi ya Okwi akiamini wachezaji hao watampa kikombe.

Haijafahamika wakikosa kikombe sijui hali itakuwaje!!!;););););););)
 
Watani wameamua kutumia kanuni ya 'Heri shetanii unayemfahamu kuliko malaika usiyemfahamu'.

Wanadai kuwa haiwezekani Yanga wachukue ubingwa mara 3 mfululizo utafikiri wanacheza peke yao. Kwa kipindi kirefu Hanspope na wenzake wameshindwa kabisa kupata wachezaji ndani na nje ya nchi wenye uwezo wa kuipatia Simba kombe. Hebu angalia wachezaji kama akina Sserunkuma na wenzake hawakufua dafu. Wakamkumbuka Hamisi Kiiza aliyecheza kwa mafanikio akiwa Yanga naye hakufua dafu. Wakamleta Okwi akaishia kupata mabao 4 tu dhidi ya Yanga na kombe 1 kati ya 4 kwa muda wote aliocheza Simba. Wakatuaminisha kwamba kuna mtu anaitwa Kiongera, akija huyo Yanga kwishney! Huyo naye hakufua dafu. Wakajinasibu kuwa Mavugo ndiyo mwisho wa yote, baada ya kucheza msimu mmoja wote tunaufahamu uwezo wake.

Baada ya juhudi zote kushindikana, sasa mnyama kaamua kuingia kwenye kundi la timu ya wananchi na Azam pamoja na kurudia matapishi ya Okwi akiamini wachezaji hao watampa kikombe.

Haijafahamika wakikosa kikombe sijui hali itakuwaje!!!;););););););)
Umewamaliza
 
Back
Top Bottom