Wanakusanya wazee watupuNaona ile timu ya Tanzania Stars ya kipindi kile iliyokuwa ligi kuu mkusanyiko wa Maveterani imerudi mtaa wa jirani.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Kumbe wewe ni wamatopeni ndio maana kwenye ule uzi wa Malinzi povu lilikuwa linakutoka mpaka unashindwa kuongea.Kupata vichekesho kama vya mtoa mada nenda jangwani
Wataje majina acha porojo!Yanga timu pekee yenye kufanya mambo yake kwa weledi mkubwa na akili nyingi imefanya kufuru kwa kusajiri wachezaji watatu wa kimataifa kutoka nchi Ghana.
Wachezaji nao ni wachezaji tegemewa kwenye kikosi cha timu yao ya taifa.
Habr za uhakika zinasema mmoja ya wachezaji hao ni beki kisiki asiyepitika wakati mmoja ni mfungaji wakutumainiwa na aliyesalia ni kiungo mkabaji wa uhakika.
Kila kitu kitawekwa wazi baada muda mfupi.
Yanga mbele daima nyuma kwetu mwiko.
wachezaji wa bure kweli maisha yanaenda kasi sana
Yule terrorizer wa yanga??Wachezaji wa bure wanatokea wapi?
Hivi yule mzee kutoka Uganda mnamrudisha lini bapo mikiani?
Mara nyingine mzazi anawaambia watoto wachochee moto kwamba anapika njugumawe kumbe ni mawe!!! Hii husaidia ku-buy time wakati wa njaa! Unawekuta mtu amelala njaa halafu anaota yupo kwenye sherehe akula wali!!Yanga timu pekee yenye kufanya mambo yake kwa weledi mkubwa na akili nyingi imefanya kufuru kwa kusajiri wachezaji watatu wa kimataifa kutoka nchi Ghana.
Wachezaji nao ni wachezaji tegemewa kwenye kikosi cha timu yao ya taifa.
Habr za uhakika zinasema mmoja ya wachezaji hao ni beki kisiki asiyepitika wakati mmoja ni mfungaji wakutumainiwa na aliyesalia ni kiungo mkabaji wa uhakika.
Kila kitu kitawekwa wazi baada muda mfupi.
Yanga mbele daima nyuma kwetu mwiko.
We Malinzi ondoka zako!!Kumbe wewe ni wamatopeni ndio maana kwenye ule uzi wa Malinzi povu lilikuwa linakutoka mpaka unashindwa kuongea.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mara nyingine mzazi anawaambia watoto wachochee moto kwamba anapika njugumawe kumbe ni mawe!!! Hii husaidia ku-buy time wakati wa njaa! Unawekuta mtu amelala njaa halafu anaota yupo kwenye sherehe akula wali!!
Yule terrorizer wa yanga??
Okwi ANARUDI kabla TANO HAZIJARUDIKama akina Manara walivyowafanyia Mikia kwenye inshu ya point kutoka FIFA.
Sometimes mnakuwaga na akili mikia ila sijui mnawekewaga limbwata gani na akina Aveva.Weka clip tuone.
Leeaah TU mamaaYanga timu pekee yenye kufanya mambo yake kwa weledi mkubwa na akili nyingi imefanya kufuru kwa kusajiri wachezaji watatu wa kimataifa kutoka nchi Ghana.
Wachezaji nao ni wachezaji tegemewa kwenye kikosi cha timu yao ya taifa.
Habr za uhakika zinasema mmoja ya wachezaji hao ni beki kisiki asiyepitika wakati mmoja ni mfungaji wakutumainiwa na aliyesalia ni kiungo mkabaji wa uhakika.
Kila kitu kitawekwa wazi baada muda mfupi.
Yanga mbele daima nyuma kwetu mwiko.
Umeandika kuntu mwana jangwani mwenzangu ingawa jina lako nalo ni changamotoSina mashaka na mabingwa Yanga kabisa maana pamoja na kuwa na pesa shule pia ipo siyo kama jirani yetu yule mbumbumbu anayesajili kwa kukomoa badala ya uhitaji