Yanga yagoma kuingia vyumbani kuna harufu kali nzito...Kumeanza kuchangamka

Yanga yagoma kuingia vyumbani kuna harufu kali nzito...Kumeanza kuchangamka

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
UPDATES 👇

Kikosi cha Young Africans kimegoma kuingia na Kukaa kwenye vyumba vya kubadilishia wakidai kuwa kuna harufu mbaya, inaelezwa Yanga SC wamepuliziwa dawa vyumbani.

Yanga SC ni wageni kwenye mchezo wa leo wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Azam FC, Benjamin Mkapa.

Mr. Reporter
 
Loh

Ya amani
 

Attachments

  • 1773592262958.jpg
    1773592262958.jpg
    188.4 KB · Views: 3
Azam wameanza usela mavi wa zamani sana
 
Hao ni Yanga wenyewe wanafanya hiyo michezo ili kuwaangushia jumba bovu Azam. Yanga wana ushamba mwingi sana, na leo wanachezea kichapo
 
wanajikosha baada ya mtu wao kukamatwa na kusemwa na waziri wa michezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom