Yanga yaachana Rasmi na Kelvin Yondan na Juma Abdul

Waliomuacha ndio wajuao namna gani wataziba pengo lake maana si kana kwamba hawajui uwezo wake. Mpira bila nidhamu wakati mwingine ni usumbufu. Mfano timu ina mechi mchezaji haonekani hatoi sababu mbaya zaidi anazima simu yake unategemea nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo csisawa je kutokumpa mshahara wake kwa wkt na kumzungusha kuhusu pesa zake anazodai nalo unalizungumzaje
 
wengine hawana hata famili na matatizo yanazidiana nibora ugome kuliko kufingisha tumu tafuteni pesa mpira ni pesa co kelele
Sawa, tunahitaji mabadiliko lakini sio kwa model ya Simba! Simba ni kama wamepata mfadhili mwenye mkataba, lakini hawana business model nzuri! Kimsingi wanapata hasara kubwa kila mwaka tangu waanza! Timu haiwezi jiendesha! How long Mo atavumilia loss! #toamilioni20zetu!
 
Truth Matters matterJuma Abdul ndio mchezaji mwenye assist nyingi kuliko mchezaji yoyote pale japo mlikuwa na strikers butu hata mwaka Jana pia aliongoza kwa assist.Juma Abdul Ni beki mzuri Sana na wakisasa anaweza kupanda na kushuka umahiri wake upo kwenye kupiga Sana cross zenye macho( Kumwaga maji) watu Kama ngoma kipindi kile na Tabwe walimfaidi Sana Juma Abdul.Kumuacha Yondani na jafari hapo wapo sahihi cos viwango vyao vimeshuka ila sio kumuacha mtu Kama Juma Abdul ambaye kiwango chake kipo vile vile angalau Yanga wangemtafutia backup au mchezaji zaidi ya Juma abdul ila sizani hili litatokea Yanga wamefanya makosa Sana kumuacha huyu Mwamba.
Nitashukuru sana kama Simba itamsajili Juma Abdul kumsaidia Kapombe. Pengine inaweza kupunguza hasira zangu kwa kumsajili Mpumbavu Morrison.
 
Nitashukuru sana kama Simba itamsajili Juma Abdul kumsaidia Kapombe. Pengine inaweza kupunguza hasira zangu kwa kumsajili Mpumbavu Morrison.
"Mnyamani" akija Simba atasugua Sana bench, aende hata Ihefu
 
Kelvin na Juma walishapita muda wao bora. Yondani katusumbua sana msimu miwili iliyopita kuzima simu na utovu mwingine wa nidhamu. Mwishoni alikuwa hana namba kwenye kikosi kile 'kibovu'. Juma Abdul pia alisusa mwaka jana karibu nusu ya msimu! Tulichofanya kuwapa mkataba ilikuwa ni huruma tu lakini wasingekuwa na mchango wowote! Pia wachezaji wakifikia umri huu wanawaza maisha "wanaweza fanya hujuma yeyote " YANGA IMESHAWAHI KUACHA TIMU MZIMA MARA MBILI" Nani anaikumbuka Yanga Yoso? Waliachwa wakina Saidi Mwamba na Mohamedi Hussein! TUACHENI TUJENGE TIMU YETU! Ikiwa tunakosea si ni vizuri kwenu mshinde goli 10?
Ilikuwa mwaka 95. Mohamed Hussein hakuachwa. Yeye na Mkapa walikuwa miongoni mwa wakongwe wachache walio bakizwa kikosini.
 
Truth Matters matterJuma Abdul ndio mchezaji mwenye assist nyingi kuliko mchezaji yoyote pale japo mlikuwa na strikers butu hata mwaka Jana pia aliongoza kwa assist.Juma Abdul Ni beki mzuri Sana na wakisasa anaweza kupanda na kushuka umahiri wake upo kwenye kupiga Sana cross zenye macho( Kumwaga maji) watu Kama ngoma kipindi kile na Tabwe walimfaidi Sana Juma Abdul.Kumuacha Yondani na jafari hapo wapo sahihi cos viwango vyao vimeshuka ila sio kumuacha mtu Kama Juma Abdul ambaye kiwango chake kipo vile vile angalau Yanga wangemtafutia backup au mchezaji zaidi ya Juma abdul ila sizani hili litatokea Yanga wamefanya makosa Sana kumuacha huyu Mwamba.


Upo sahihi Mkuu,

Juma Abdul ndie mchezaji mwenye assist nyingi sana kwa takribani miaka 3 au 4 mfululizo.

Nilishamsikia Tambwe akihojiwa majuzi kati na Clouds Sports Xtra alimsifu sana Juma kwa namna ambavyo akikilinda kiwango chake na akasema kuwa ndie beki aliyekuwa akimlisha mipira mingi ya krosi, pía Ngoma na hata Makambo kapata krosi mujarrabu sn kutoka kwa Juma.

Ila kiukweli kwa haya yanayoendelea Yanga kuacha wachezaji na usajili unaofanyika ni wazi kuwa GSM hakuna kitu pale, jamaa hawana hela zaidi ya ubabaishaji, wanaiharibu Yanga kuliko kuijenga

Wana Yanga stukeni mapema GSM hamna kitu ni janja janja tu
 
Truth Matters matterJuma Abdul ndio mchezaji mwenye assist nyingi kuliko mchezaji yoyote pale japo mlikuwa na strikers butu hata mwaka Jana pia aliongoza kwa assist.Juma Abdul Ni beki mzuri Sana na wakisasa anaweza kupanda na kushuka umahiri wake upo kwenye kupiga Sana cross zenye macho( Kumwaga maji) watu Kama ngoma kipindi kile na Tabwe walimfaidi Sana Juma Abdul.Kumuacha Yondani na jafari hapo wapo sahihi cos viwango vyao vimeshuka ila sio kumuacha mtu Kama Juma Abdul ambaye kiwango chake kipo vile vile angalau Yanga wangemtafutia backup au mchezaji zaidi ya Juma abdul ila sizani hili litatokea Yanga wamefanya makosa Sana kumuacha huyu Mwamba.
Hivi huwa mnatumia masaburi kufikiri au? Watu mnaambiwa,wachezaji wamekataa terms za mkataba mpya ,mlitaka iweje,mke anasema hadharani hakutaki wewe utamlazimisha? Hawajakubaliana mnataka viongozi wawalambe makalio ama!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom