hiyo csisawa je kutokumpa mshahara wake kwa wkt na kumzungusha kuhusu pesa zake anazodai nalo unalizungumzajeWaliomuacha ndio wajuao namna gani wataziba pengo lake maana si kana kwamba hawajui uwezo wake. Mpira bila nidhamu wakati mwingine ni usumbufu. Mfano timu ina mechi mchezaji haonekani hatoi sababu mbaya zaidi anazima simu yake unategemea nini.
Sent using Jamii Forums mobile app