Yanga wamletea ubishi Mo Dewji

Mleta UZI jana ulishindia chai na pilipili ?

Yanga uongozi unao maliza muda umepoteana tayar...kitendo cha M/kiti kutokumuunga mkono Mwenyekiti wake ni dhahiri wa shahiri hamna kitu....

Sasa iv kila maamuzi ga Uto pamoja na press zinafanyikia Slamanda tower , pale mitaa ya twiga pamedoda
 
Mleta UZI jana ulishindia chai na pilipili ?

Yanga uongozi unao maliza muda umepoteana tayar...kitendo cha M/kiti kutokumuunga mkono Mwenyekiti wake ni dhahiri wa shahiri hamna kitu....

Sasa iv kila maamuzi ga Uto pamoja na press zinafanyikia Slamanda tower , pale mitaa ya twiga pamedoda
Press za makolo zinafanyika msimbazi?
 
Press za makolo zinafanyika msimbazi?
Hao makolo wapo msimbazi ipi ? Polisi au fire ? ....

Usichokijua ni kuwa simba tayari FCC wamepitisha mabadiliko, tayari so majengo yote ya simba pale.Kkoo yamekodishwa ..ndio maana sasa iv pale umeona ile floor ya juu kapanga mfanya biashara wa kuuza nguo bwan sunderland theonly one .... Simba ina bodi yanga ina bodi ?
 
Hao makolo wapo msimbazi ipi ? Polisi au fire ? ....

Usichokijua ni kuwa simba tayari FCC wamepitisha mabadiliko, tayari so majengo yote ya simba pale.Kkoo yamekodishwa ..ndio maana sasa iv pale umeona ile floor ya juu kapanga mfanya biashara wa kuuza nguo bwan sunderland theonly one .... Simba ina bodi yanga ina bodi ?
So baada ya fcc kupitisha mabadiliko makolo hawana ofisi wala makao makuu ya klabu?halafu unataka kusema pale msimbazi pameanza kupangishwa baada ya hayo mabadiliko?kolo's akili zenu zimeshikwa na mo na babra
 
So baada ya fcc kupitisha mabadiliko makolo hawana ofisi wala makao makuu ya klabu?halafu unataka kusema pale msimbazi pameanza kupangishwa baada ya hayo mabadiliko?kolo's akili zenu zimeshikwa na mo na babra
Zaman pale mjengoni, floor ya juu ndio ilikuwa inatumika na club, chin kulikuwa na wapangaji... Now si ni jengo lote lima wapangaji ...

Alafu usikute unabishana kuhusu Dsm,Kkoo kumbe ww upo kazuramimba kigoma ila unajenga picha tu ya Kkoo ...embu kunywa chai na migebuka ..wacha mm nipande mwendokasi
 
Zaman pale mjengoni, floor ya juu ndio ilikuwa inatumika na club, chin kulikuwa na wapangaji... Now si ni jengo lote lima wapangaji ...

Alafu usikute unabishana kuhusu Dsm,Kkoo kumbe ww upo kazuramimba kigoma ila unajenga picha tu ya Kkoo ...embu kunywa chai na migebuka ..wacha mm nipande mwendokasi
Wewe mama mimi nimezaliwa sikukuu na kiungani,k'koo naijua vizuri sana,acha ufala
 
Wewe mama mimi nimezaliwa sikukuu na kiungani,k'koo naijua vizuri sana,acha ufala
😂😂😂😂 Mama yako na yy anatumia JF 🤣🤣🤣🤣 ww tulia hapo kazuramimba uvunage mawese tu mambo ya kujifanya unajua kkoo kwa picha uachage
 
😂😂😂😂 Mama yako na yy anatumia JF 🤣🤣🤣🤣 ww tulia hapo kazuramimba uvunage mawese tu mambo ya kujifanya unajua kkoo kwa picha uachage
Unatoka nje ya mada,halafu sidhani hata kama k'koo yenyewe unaijua,utakua mshamba flan na ndio maana hata kupanda mwendokasi unaona ujanja,we kweli kolo pro max,unadai Yanga aifanyi press jangwani nakuuliza makolo mnafanyia msimbazi badala ya kujibu unadai unapanda mwendokasi!
 
Mkiambiwa simba wakajifunze jinsi ya kuendesha team kisasa toka kwa yanga mnabenua midomo kama watoto wa kike, tulieni dawa iwaingie makolo mtaisoma namba tu hata kimyakimya

YANGA ni kama wanamletea ubishi mwekezaji wa Simba, bilionea, Mohamed Dewji ‘Mo’, hiyo ni baada ya kutangaza miezi minne sawa na siku 120 za kukamilisha ujenzi wa Uwanja wa Kaunda uliopo kwenye makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya Jangwani, Dar.

Hatua hiyo imekuja siku chache tangu Mo atembelee Uwanja wa Bunju unaomilikiwa na Simba ambao upo kwenye hatua za mwisho za kukamilika hasa ule wa mazoezi upande wa nyasi bandia. Mara baada ya Mo kutembelea uwanja huo aliahidi kumalizika kwa uwanja huo hivi karibuni kutokana na nyasi bandia kutua nchini na kupelekwa uwanjani hapo tayari kwa kuwekwa.

Akizungumza na Championi Ijumaa, Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Frederick Mwakalebela alisema kuwa hadi kufikia Februari 2020 ukarabati wa uwanja huo utakuwa umekamilika.

Mwakalebela alisema kuwa uwanja wamepanga kuutumia kwa ajili ya mazoezi, pia kambi ya pamoja ya kikosi chao katika kujiandaa na michezo ya Ligi Kuu Bara na kimataifa.

Aliongeza kuwa hivi karibuni wanatarajia kuanza ukarabati wa jengo lao hilo zikiwemo hosteli za wachezaji zitakazotumika mara baada ya timu hiyo kuingia kambini na tayari Kampuni ya GSM ambao ndiyo waliojitolea ukarabati wa jingo, wameanza taratibu za awali.

“Zoezi lililopo hivi sasa katika ukarabati wa uwanja wetu wa Kaunda ni kujaza kifusi limekamilika ambalo limekamilika, kazi inayofanyika sasa ni usambazaji wa kifusi hicho tayari.

“Tayari yapo magreda mawili yanaendelea na kazi hiyo ya kusambaza na kusawazisha vifusi na baada ya kusawazisha udongo huo, zoezi litakalofuata ni kuweka udongo mwingine ambao ni wa rutuba kisha upandaji wa nyasi utafuatia.

“Kikubwa tunataka kabla ya mzunguko wa pili wa ligi kuanza tuwe tayari tumeanza kuutumia uwanja wetu, pamoja na kambi ya hapo kwenye hosteli zetu chini ya udhamini wa GSM waliochukua jukumu la kuukarabati uwanja huo,” alisema Mwakalebela.

Yanga hivi sasa inafanya mazoezi yake kwenye Uwanja wa Chuo cha Polisi, Kurasini jijini Dar es Salaam huku ikiweka kambi yake Nafeland Hotel, Magomeni Kagera, Dar.
Tangu 2020 mpaka leo uwanja wa kaunda bado wanasawazisha kifusi tu!!!!???
Wenzao washamaliza na kuanza mazoezi Bunju huu mwaka wa pili sasa. Yanga mboyoyo ni nyingi sana.
 
Mama yako na yy anatumia JF ww tulia hapo kazuramimba uvunage mawese tu mambo ya kujifanya unajua kkoo kwa picha uachage
Kuijua K/Koo nako ni ujanja kumbe!? Mnaizungumzia K/koo ipi kwanza, hiihii yenye majengo chakavu na harufu kali ya mavi?
 
Yaani ubishi walioleta hapo ni upi kwa mfano? Kujenga uwanjja kwa miezi minne hata mimi naweza. Shida itakuja kwenye ubora. Hao wachina wenyewe waliojenga uwanja wa Lupaso hawakuchukua hiyo miezi minne kuumaliza. Labda kama utakuwa uwanja wa kufugia bata mzinga. Halafu hivi Yanga mnafanya mambo kwa kumkomoa Mo au ni kwa maendeleo ya Klabu yenu? Maana hata huyo msemaji wenu kila siku akiitisha Press huongelea mambo ya Simba tu! Mbona wenzenu hawana time na ninyi? Wanafanya mambo yao kimya kimya
 
Unatoka nje ya mada,halafu sidhani hata kama k'koo yenyewe unaijua,utakua mshamba flan na ndio maana hata kupanda mwendokasi unaona ujanja,we kweli kolo pro max,unadai Yanga aifanyi press jangwani nakuuliza makolo mnafanyia msimbazi badala ya kujibu unadai unapanda mwendokasi!
Hahaha kupanda mwendokasi una saidia ku adjust budget
 
Mi siyo shabik wa bongo lakin nachokiona kwa yanga wanaishi chin ya mwamvuli wa Simba kwa kufanya mambo yanayo fanana na Simba na siyo kujiwekea mikakati yao kwanzia CEO wamechukua kutoka Simba kwa namna hii kuendelea itakua ngumu itategemea Simba imeendeleaje
 
Back
Top Bottom