Katika mechi yao leo na KMC. Yanga wamevaa jezi isiyokuwa na nembo ya ya mdhamini tofauti na timu nyingine kama tulivyoona katika mechi nyingine zilichezwa leo.
Wadau wengi wa soka tunasubiri kusikia kauli ya TFF. Kwani hili ni tukio kubwa saana kwa mustakabari wa soka letu.
Kuna mtu kaniuma sikio kuwa wanastahili kunyan'gaywa point mbili na goli mbili ahaaa
Wadau wengi wa soka tunasubiri kusikia kauli ya TFF. Kwani hili ni tukio kubwa saana kwa mustakabari wa soka letu.
Kuna mtu kaniuma sikio kuwa wanastahili kunyan'gaywa point mbili na goli mbili ahaaa