Kwanini nihemke wakati mimi yanga? soma alichoandika Megapyne kilichosababisha mlolongo wa viulizo... ameandika Emmanuel Gabriel na Ulimwoka ni wachezaji wa yanga wewe umeridhika na hilo?
benald mwalala aliyefunga goli la yanga anatoka nje na anaingizwa kigi makasi - benald mwalala anapata kadi nyekundu baada ya kukunjana wakati anatoka nje
Mpira kama vile unachezwa kwa hasira, Tit for Tat. Ben mwalala na mwezake wamepigana. Yanga wapo 10 Simba wapo 9. Yanga wanatakiwa kuongeza nguvu ya ziada.