Mtibwa3-Yanga0
Simba2-Jkt ruvu0
Najua mpira ni uleule ila Usikariri. Ingekuwa ni hivyo msimu uliopita mmgechukua ligi baada ya kuchukua kagamesoka ni lile lile tu!!!ngoja tukianza kazi utanitafuta!!!print hii uitunze kama reference!!!
Haabri zilizotufikia hivi punde timu ya yanga imefungwa bao 3 bila na mtibwa na kuhitimisha ukweli swala si kocha wa kigen bali ni aina gani ya bunduki unazotumia
nawatakia kila kheri yanga wenzangu msikate tamaa hata madread wameanza hivi hivi
innalilah rajuun
Yes mkuu ila inaumaje aisee!safi sana mandieta kumbe kumbukumbu yako nzuri!!
unataka niamini kwamba........!!!Najua mpira ni uleule ila Usikariri. Ingekuwa ni hivyo msimu uliopita mmgechukua ligi baada ya kuchukua kagame
hivi huyu Tom ndo anataka tumuondoe kwa stail hiyo kweli!!!!yanga inawenyewe!!Yes mkuu ila inaumaje aisee!
kwa k0sa gani tena?
unataka niamini kwamba........!!!
Mtibwa3-Yanga0
Simba2-Jkt ruvu0
Tena ni miaka yote Yanga huwa anaanza kwa kusuasua!
mechi ya simba vipi wakuu,haijaisha tu? make mpaka sasa tumemchapa mtu mbili bila na tupo pungufu......raha sana kushabikia timu hii
Punguza hasira mkuu.hivi huyu Tom ndo anataka tumuondoe kwa stail hiyo kweli!!!!yanga inawenyewe!!
ahsante mandieta kwa kunitia moyo!!naomba tu iwe hivyo maana sijui itakuwaje isipokuwa hivyo!Punguza hasira mkuu.
Mbona hii ndio style yetu siku zote.
Tutaanza ligi rasmi tar 22 taifa dhidi ya JKT RUVU mkuu!
Waache simba watangulie na baiskeli ya barafu.
Kwanza nijibu jee wewe ni wa KIJANI/NJANO au MWEKUNDU?Mbui Twite hakucheza