Yanga vs Mgambo JKT, kutoka Uwanja wa Taifa

Yanga vs Mgambo JKT, kutoka Uwanja wa Taifa

Ile forward kali iliyoitungua Azam goli 3 vp tena? Mkuu Masuke?
Subiri dakika 90 zikamilike na kama matokeo yatakuwa hivi hivi nitakujibu lakini kama yatabadilika kuwa mazuri kwetu nadhan kutakuwa hakuna haja ya kujibu swali lako.
 
simba wamesawazisha kipindi cha pili dk 11 kiemba ndo kafunga. pasi imetoka kwa okwi.
simba 1 - 1 polisi. mia
 
Hawa Polic wanataka kuharibu Sherehe yangu sasa
 
Wakati wa mapumziko, viongozi wa simba wameonekana wakigawa mlungula. Sitoshangaa wakishinda goli nyingi.
 
polisi kazi yao kurusha miguu kama wanacheza gwarude
Kiemba anakosa goli
 
Yule mtu anayeitwa Zacharia HansPop ni hatari sn yule
 
Endeleeni kutuletea matokeo mlioko uwanjani, star tv ilikuwa inatupa uhondo waendekeza njaa wamezuia.
 
Back
Top Bottom