figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,727
- 62,931
dakika za nyongeza mbili.
Yanga 3 - 0 mgambo jkt. mia
Yanga 3 - 0 mgambo jkt. mia
yanga inaongoza usukani wa ligi kuu tanzania kwa uwiano wa magoli. yanga amefunga magoli 21 na simba amefunga magoli 20. yanga amebakiza mechi za coastal union na azam wakati simba imebakiza michezo ya moro united na toto africa. kocha wa zamani wa azam kashaanza kazi. mia
Mkuu mia Moro utd. hawapo ligi kuu
ok asante. ni mtibwa. mia
Mpira umekwisha.
mwamzi alikua MARTIN SANYA WA MOROGORO.
YANGA 3 - 0 MGAMBO JKT. mia
Mchezaji wa mgambo kalimwa red kumchezea rafu mbuyu twitte
Anaitwa Mbuyi Rage Twitte
Msimamo ukoje baada ya mechi za leo?
Bado Simbwa watakuwa wanaongoza kwa tofauti ya magoli, lakini wajue kuwa tumeshawakuta na karibu tutawawashia indiketaKwikwilikwiiiiii.........leo yanga tunaongoza league..
Na kwa hesabu za taratibu Yanga ni ya pili.Kwa hesabu za haraka Yanga wanaongoza
Na kwa hesabu za taratibu Yanga ni ya pili.
mpaka sasa morogoro Simba 0 - Polisi moro 0