Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,041
- 10,102
Ukiachana na kelele za makolo watakazotupigia mtaani ila mi naona ni heri wafuzu, Hawa wydad sio watu wazuri sana wakifuzu kimagumashi wanaweza kucharuka wakafanya maajabu( rejea Yale ya ivory coast afcon)
Hawa asec, Simba, mazembe, es Tunis, Petro Luanda tunawamudu vizuri sana.... Hawa tuombee tu tusikutane na mamelodi robo fainali(maana Al ahly hatuwezi kutana nae tupo kundi Moja)
Simba hata akifuzu tukikutana nae tutambonda tu ..
Hawa asec, Simba, mazembe, es Tunis, Petro Luanda tunawamudu vizuri sana.... Hawa tuombee tu tusikutane na mamelodi robo fainali(maana Al ahly hatuwezi kutana nae tupo kundi Moja)
Simba hata akifuzu tukikutana nae tutambonda tu ..