Yanga sio mabingwa wa kihistoria (Simba yupo 22 na Yanga pia)

Mimi yangu hyo leta na ww ya kwako ya Yanga kuchukua mara 27
Inaitwaje source yako? umescreenshot lkn jina ya hiyo App halipi,Mimi rekodi ya Yanga kuchukua ubingwa mara 27 niliiona kwenye gazeti la Champion na Mwanaspoti mwaka jana.

Ila kuna site imechambua vizuri 👇👇
 
sijaona washabiki wa simba wajiteseka kama mwaka huu, maneno ya kila namna wanamaliza, Gsm atawatia uchizi maana anasema huu ni mwanzo tu
 
Leo nimejaribu kufuatilia documents kila kona nimekuja kupata taarifa kuwa yanga yupo na makombe 22 ya ligi huku simba hapo awali alijulikana Sunderland naye yupo na makombe 22 ya ligi. Nashindwa kuelewa yanga anajiita bingwa wa kihistoria kwa kigezo kipi!?

RECORD HII HAPA

Dar es Salaam League
1944- Sunderland (Dar es Salaam)
1945 not known
1946 - Sunderland (Dar es Salaam)
1947-63 not known
1964 - Cosmopolitans (Dar es Salaam)
national (mainland) league
1965 - Sunderland (Dar es Salaam)
1966 - Sunderland (Dar es Salaam)
1967 - Cosmopolitans (Dar es Salaam)
1968 - Young Africans (Dar es Salaam)
1969 - Young Africans (Dar es Salaam)
1970 - Young Africans (Dar es Salaam)
1971 - Young Africans (Dar es Salaam)
1972 - Young Africans (Dar es Salaam)
1973 - Simba (Dar es Salaam)
1974 - Young Africans (Dar es Salaam)
1975 - Mseto Sports (Morogoro)
1976 - Simba (Dar es Salaam)
1977 - Simba (Dar es Salaam)
1978 - Simba (Dar es Salaam)
1979 - Simba (Dar es Salaam)
1980 - Simba (Dar es Salaam)
1981 - Young Africans (Dar es Salaam)
1982 - Pan African (Dar es Salaam)
1983 - Young Africans (Dar es Salaam)
1984 - KMKM (Zanzibar)
1985 - Tukuyu Stars(Rungwe)
1986 - Maji Maji (Songea)
1987 - Young Africans (Dar es Salaam)
1988 - African Sports (Tanga)
1989 - Malindi
1990 - Pamba (Shinyanga)
1991 - Young Africans (Dar es Salaam)
1992 - Malindi
1993 - Simba (Dar es Salaam)
1994 - Simba (Dar es Salaam)
1995 - Simba (Dar es Salaam)
1996 - Young Africans (Dar es Salaam)
1997 - Young Africans (Dar es Salaam)
1998 - Maji Maji (Songea)
1999 - Prisons (Mbeya)
2000 - Young Africans (Dar es Salaam)
2001 - Simba (Dar es Salaam)
2002 - Simba (Dar es Salaam)
2003 - not awarded (*)
Tanzania Mainland (Tanzania Bara)
2004 - Simba (Dar es Salaam)
2005 - Young Africans (Dar es Salaam)
2006 - Young Africans (Dar es Salaam)
2007 - Simba (Dar es Salaam) [mini-league]
2008 - Young Africans (Dar es Salaam)
2009 - Young Africans (Dar es Salaam)
2010 - Simba (Dar es Salaam)
2011 - Young Africans (Dar es Salaam)
2012 - Simba (Dar es Salaam)
2013 - Young Africans (Dar es Salaam)
2014 - Azam FC (Dar es Salaam)
2015 - Young Africans (Dar es Salaam)
2016 - Young Africans (Dar es Salaam)
2017 - Young Africans (Dar es Salaam)
2018 - Simba (Dar es Salaam)
2019 - Simba (Dar es Salaam)
2020 - Simba (Dar es Salaam)
2021 - Simba (Dar es Salaam)
2022 -
Humu umechanganya mabingwa wa Ligi ya Tanzania Bara na Mabingwa wa Muungano.

Mfano hao Pamba, KMKM na Malindi ni mabingwa wa Kombe la Muungano. Prosons hajawahi kutwaa Ubingwa wa Bara bali 1998 na 1999 mabingwa walikuwa ni Mtibwa Sugar. So kokote ulikoipata Taatifa hii ni taatifa potofu. Nashauri ufute hii thread.

Simba Nguvu Moja
 
Ukiingia kwenye wikipedia utaona taarifa hiyo hapo chini (au google). ikionyesha yanga imeshinda mara 27 lakini ukihesabu kwa umakini miaka kama inavyoonyesha hapo utaona imechukua mara 22 tu. Sasa cjui kuna tatizo gani hapa na cjui tuelewe lipi!! Champions (27): 1968, 1969, 1970, 1971, 1972, 1974, 1981, 1983, 1987, 1991, 1996, 1997, 2000, 2005, 2006, 2007–08, 2008–09, 2010–11, 2012–13, 2014–15, 2015–16, 2016–17.
hapa ni kuchallange TFF kwamba Simba hawatambui takwimu za yanga kuchukua Mara 27 la sivyo walete ushahidi wa ubingwa wa kila timu Tanzania na mwaka wa ushindi,na vikosi vya hizo timu. Maana wenzetu wanaleta bla bla oooh sisi mabingwa wa kihistoria kumbe porojo
 
Mzee mbona unaleta taarifa za kubumba kwenye blogs!?
Check hapa:-
Yaani umeleata rekodi zako kupitia hiyo website ina makosa kibao wadau wanakupinga ila bado hujustukii,nimekupa sources hutaki kuikubali.Hao rssf walianza lini kulifuatilia soka la Tz.Kama Somaji wa Champion au Mwanaspoti mara zote wakitoa rekodi za ubingwa mf mwaka jana Yanga 27, Simba 21.
 
hapa ni kuchallange TFF kwamba Simba hawatambui takwimu za yanga kuchukua Mara 27 la sivyo walete ushahidi wa ubingwa wa kila timu Tanzania na mwaka wa ushindi,na vikosi vya hizo timu. Maana wenzetu wanaleta bla bla oooh sisi mabingwa wa kihistoria kumbe porojo
Record zako za uongo nenda kaangakie vizuri 1992 na 1993 umetupiga yanga hawakuchukua kombe mwaka hiyo. Umeandika uongo kwenye blog yako.
 
Yaani umeleata rekodi zako kupitia hiyo website ina makosa kibao wadau wanakupinga ila bado hujustukii,nimekupa sources hutaki kuikubali.Hao rssf walianza lini kulifuatilia soka la Tz.Kama Somaji wa Champion au Mwanaspoti mara zote wakitoa rekodi za ubingwa mf mwaka jana Yanga 27, Simba 21.
Mzee hebu wewe umeleta ikiwa sawa. 1992 na 1993 yanga hakuchukua ubingwa lakini umeweka shame on you.
 
Mzee hebu wewe umeleta ikiwa sawa. 1992 na 1993 yanga hakuchukua ubingwa lakini umeweka shame on you.
Wewe bisha ila nakuomba siku ikikaribia mechi ya Simba na Yanga,tafuta nakala ya Champion na Mwanaspoti utapata majibu ya uhakika,wanatoaga rekodi zote na hiyo Yanga kuchukua 27 utaiona japo hutaki.
 
Record zako za uongo nenda kaangakie vizuri 1992 na 1993 umetupiga yanga hawakuchukua kombe mwaka hiyo. Umeandika uongo kwenye blog yako.
umeniquote mi sijaandika mwaka wowote waliochukua kombe yanga
 
Wewe bisha ila nakuomba siku ikikaribia mechi ya Simba na Yanga,tafuta nakala ya Champion na Mwanaspoti utapata majibu ya uhakika,wanatoaga rekodi zote na hiyo Yanga kuchukua 27 utaiona japo hutaki.
Mzee mwaka 1992 na 1993 umebumba mzee record zote tunazo.
 
Back
Top Bottom