MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
" Mimi kama Sekilojo Chambua tena Mjumbe wa Kamati ya Usajili ya Yanga SC niseme tu kuwa hatushirikishwi katika Kusajili Wachezaji wa Yanga SC matokeo yake Mtu Mmoja anaamua kwenda Kusajili na anatusajilia Wachezaji wabovu tupu. Simba SC wataendelea Kufanikiwa kwakuwa wanajitambua na hawana ujanja ujanja na upuuzi uliopo huku Yanga SC "
Chanzo: Azam Tv Kabumbu Show
" Mimi kama Ivo Mapunda japo nimeshachezea Simba SC ila hakuna asiyejua kuwa ni mwana Yanga SC lia lia. Tusifiche Yanga SC kumejaa tu Wahuni na si Watu wa mpira. Simba SC wametuacha Yanga SC kwa mbali mno na Yanga SC haina Wachezaji wenye Hadhi ya Kuichezea na sijui Kamati yetu ya Usajili itatuambia nini kwani kwa Simba SC ilivyo sasa Ubingwa Kwao ni kama vile Israeli na Roho ya Binadamu "
Chanzo: Clouds FM Hili Game Show
Mtanuna mno tu mwaka huu hadi Mfe!
Chanzo: Azam Tv Kabumbu Show
" Mimi kama Ivo Mapunda japo nimeshachezea Simba SC ila hakuna asiyejua kuwa ni mwana Yanga SC lia lia. Tusifiche Yanga SC kumejaa tu Wahuni na si Watu wa mpira. Simba SC wametuacha Yanga SC kwa mbali mno na Yanga SC haina Wachezaji wenye Hadhi ya Kuichezea na sijui Kamati yetu ya Usajili itatuambia nini kwani kwa Simba SC ilivyo sasa Ubingwa Kwao ni kama vile Israeli na Roho ya Binadamu "
Chanzo: Clouds FM Hili Game Show
Mtanuna mno tu mwaka huu hadi Mfe!