sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Yanga SC na Singida United ni ngumu kuwatenganisha ...
Kwanini?
Shabiki lia lia wa Yanga SC, Mwigulu Nchemba.. Ndiyo mlezi wa Singida United ... Leo timu yake inafungwa, eti anashanglia ... Unategemea nini sasa hapo??
Huu udugu wao ulisababisha haya msimu huu ...
Singida United walimsajili Feisal Salum kutoka JKU ya Zanzibar. Baada ya Yanga SC kusua sua katika dirisha la usajili, Mwigulu Chemba aliamua kuwapatia Feisal Salumu bureee kabisa.
Hivi inawezekanaje Baba alie ukata alafu mtoto ule na kusaza ...
Ungana nami ...
1. Tangu msimu huu uanze, beki Mganda wa Singida United, Shafiq Batambuze, hajaripoti katika timu kwa kile kinachodaiwa kuwa ni suala la kutolipwa mshahara na kumaliziwa fedha za usajili.
2. Kuelekea mechi ya leo, makocha wasaidizi wa klabu ya Singida United Athuman Mfaume na Jumanne Chale wameachia ngazi kwa sababu ya kutokulipwa mshahara miaka kadhaa.
3. Golikipa wao tegemeo, Manyika Peter naye kajiengua katika timu kwa kutolipwa stahiki zake.
Kwa kifupi mechi ya leo kati ya Ndala na Singida ilikua ni ...
"Mbuzi wa bwana heri.. Kala shamba la bwana heri.. Kesi imeenda kwa bwana heri.."
Jambo la kufurahisha 30/09/2018 hizi mbereko hazitakuwepo kabisa ... Tukutane Taifa.
Kwanini?
Shabiki lia lia wa Yanga SC, Mwigulu Nchemba.. Ndiyo mlezi wa Singida United ... Leo timu yake inafungwa, eti anashanglia ... Unategemea nini sasa hapo??
Huu udugu wao ulisababisha haya msimu huu ...
Singida United walimsajili Feisal Salum kutoka JKU ya Zanzibar. Baada ya Yanga SC kusua sua katika dirisha la usajili, Mwigulu Chemba aliamua kuwapatia Feisal Salumu bureee kabisa.
Hivi inawezekanaje Baba alie ukata alafu mtoto ule na kusaza ...
Ungana nami ...
1. Tangu msimu huu uanze, beki Mganda wa Singida United, Shafiq Batambuze, hajaripoti katika timu kwa kile kinachodaiwa kuwa ni suala la kutolipwa mshahara na kumaliziwa fedha za usajili.
2. Kuelekea mechi ya leo, makocha wasaidizi wa klabu ya Singida United Athuman Mfaume na Jumanne Chale wameachia ngazi kwa sababu ya kutokulipwa mshahara miaka kadhaa.
3. Golikipa wao tegemeo, Manyika Peter naye kajiengua katika timu kwa kutolipwa stahiki zake.
Kwa kifupi mechi ya leo kati ya Ndala na Singida ilikua ni ...
"Mbuzi wa bwana heri.. Kala shamba la bwana heri.. Kesi imeenda kwa bwana heri.."
Jambo la kufurahisha 30/09/2018 hizi mbereko hazitakuwepo kabisa ... Tukutane Taifa.