Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Ha ha ha ha. Eti walisema kwamba watatukuta njiani, mwisho wa mbio tuliwaacha kwa pointi kede kede huku wakiambulia vumbi tu na kupigania nafasi ya pili na Azam FCHahaha.. Naona mshaanza kutafuta sababu mapema.
Baada ya msimu uliopita kutokuhangaika na mechi dhidi ya mfalme wa nyika.. Mlifikia wapi harakati zenu za ubingwa?
Na tukaibuka Kisimba zaidi, Kibingwa zaidi..!