Hizi team za Singida zina shida gani eti?

Black poison The Factor

JF-Expert Member
May 31, 2020
856
1,262
Nimekuwa najiuliza sana maswali bila majibu, hizi team za Singida zinakumbwa na tatizo gani?

Ilianza Singida united, ikaja vizuri kabisa na Mashabiki wa mpira wakajua kwamba mpinzani amekuja, badala ya Azam ambaye yupoyupo tu kama akina Kagera sugar ambao wao kikubwa wawepo ligi kuu tu.

Lakini msimu wa pili tu mambo yakawa tofauti Singida wakawa na migogoro ya ndani kwa ndani mpaka jahazi likazama.

Ikaja hii Singida big stars (Singida fountain gate) ikaonekana tena kwamba mshindani kaja, kabla hata ya kufika popote ikauzwa, mi nilijua kabisa kwamba yatatokea yaleyale tu. Wamekua kama vile wanatupima akili, wanaanza kwa kasi sana halafu wakipata ile attention ya Mashabiki wanaingia mitini.

Kwakweli kwa huu mchezo wao ni bora wasipewe umiliki wa team maana hata hii ikishuka watanunua tena na kuja kufanya madudu yao, maana wamiliki ni wale wale tu isipokua majina ya team ndo tofauti.

Nimeangalia mwenendo wao kwasasa kwenye ligi wana hali ngumu sana, imekuwa kichaka cha kugawa point.

Leo Simba ilikuwa ashinde hata 5 pale ila umakini wao umewanyima ushindi mkubwa,

Ile mechi kama ingekuwa ya yanga hata saba wangekula wale halafu maneno ya bahasha yaendelee, kama ilivyo kawaida.

Hizi team za mkoani Singida kama vipi zisipande daraja kabisa wala wasiuziwe team maana ni upuuzi tu unaofanyika.
 
Nimekua najiuliza sana maswali bila majibu, hizi team za singida zinakumbwa na tatizo gani?

Ilianza singida united, ikaja vizuri kabisa na Mashabiki wa mpira wakajua kwamba mpinzani amekuja, badala ya Azam ambaye yupoyupo tu kama akina Kagera sugar ambao wao kikubwa wawepo ligi kuu tu.

Lakini msimu wa pili tu mambo yakawa tofauti singida wakawa na migogoro ya ndani kwa ndani mpaka jahazi likazama.

Ikaja hii singida big stars (singida fountain gate) ikaonekana tena kwamba mshindani kaja, kabla hata ya kufika popote ikauzwa, mi nilijua kabisa kwamba yatatokea yaleyale tu. wamekua kama vile wanatupima akili, wanaanza kwa kasi sana halafu wakipata ile attention ya Mashabiki wanaingia mitini.

kwakweli kwa huu mchezo wao ni bora wasipewe umiliki wa team maana hata hii ikishuka watanunua tena na kuja kufanya madudu yao, maana wamiliki ni wale wale tu isipokua majina ya team ndo tofauti.

Nimeangalia mwenendo wao kwasasa kwenye ligi wana hali ngumu sana, imekua kichaka cha kugawa point.

Leo Simba ilikua ashinde hata 5 pale ila umakini wao umewanyima ushindi mkubwa,

ile mechi kama ingekua ya yanga hata saba wangekula wale alafu maneno ya bahasha yaendelee, kama ilivyo kawaida.

Hizi team za mkoani singida kama vipi zisipande daraja kabisa wala wasiuziwe team maana ni upuuzi tu unaofanyika.
Timu zinaanzishwa kwa mihemuko ya kisiasa
 
Nimekua najiuliza sana maswali bila majibu, hizi team za singida zinakumbwa na tatizo gani?

Ilianza singida united, ikaja vizuri kabisa na Mashabiki wa mpira wakajua kwamba mpinzani amekuja, badala ya Azam ambaye yupoyupo tu kama akina Kagera sugar ambao wao kikubwa wawepo ligi kuu tu.

Lakini msimu wa pili tu mambo yakawa tofauti singida wakawa na migogoro ya ndani kwa ndani mpaka jahazi likazama.

Ikaja hii singida big stars (singida fountain gate) ikaonekana tena kwamba mshindani kaja, kabla hata ya kufika popote ikauzwa, mi nilijua kabisa kwamba yatatokea yaleyale tu. wamekua kama vile wanatupima akili, wanaanza kwa kasi sana halafu wakipata ile attention ya Mashabiki wanaingia mitini.

kwakweli kwa huu mchezo wao ni bora wasipewe umiliki wa team maana hata hii ikishuka watanunua tena na kuja kufanya madudu yao, maana wamiliki ni wale wale tu isipokua majina ya team ndo tofauti.

Nimeangalia mwenendo wao kwasasa kwenye ligi wana hali ngumu sana, imekua kichaka cha kugawa point.

Leo Simba ilikua ashinde hata 5 pale ila umakini wao umewanyima ushindi mkubwa,

ile mechi kama ingekua ya yanga hata saba wangekula wale alafu maneno ya bahasha yaendelee, kama ilivyo kawaida.

Hizi team za mkoani singida kama vipi zisipande daraja kabisa wala wasiuziwe team maana ni upuuzi tu unaofanyika.
sasa inakuja singida leopards fc
 
Timu zinaanzishwa kimkakati. Singida hata enzi iko kwenye ubora siku ikicheza na Yanga ndio utajua malengo ya mmiliki ni yapi hata TRA ya Simba INA cheza Vizuri.
 
Nimekuwa najiuliza sana maswali bila majibu, hizi team za Singida zinakumbwa na tatizo gani?

Ilianza Singida united, ikaja vizuri kabisa na Mashabiki wa mpira wakajua kwamba mpinzani amekuja, badala ya Azam ambaye yupoyupo tu kama akina Kagera sugar ambao wao kikubwa wawepo ligi kuu tu.

Lakini msimu wa pili tu mambo yakawa tofauti Singida wakawa na migogoro ya ndani kwa ndani mpaka jahazi likazama.

Ikaja hii Singida big stars (Singida fountain gate) ikaonekana tena kwamba mshindani kaja, kabla hata ya kufika popote ikauzwa, mi nilijua kabisa kwamba yatatokea yaleyale tu. Wamekua kama vile wanatupima akili, wanaanza kwa kasi sana halafu wakipata ile attention ya Mashabiki wanaingia mitini.

Kwakweli kwa huu mchezo wao ni bora wasipewe umiliki wa team maana hata hii ikishuka watanunua tena na kuja kufanya madudu yao, maana wamiliki ni wale wale tu isipokua majina ya team ndo tofauti.

Nimeangalia mwenendo wao kwasasa kwenye ligi wana hali ngumu sana, imekuwa kichaka cha kugawa point.

Leo Simba ilikuwa ashinde hata 5 pale ila umakini wao umewanyima ushindi mkubwa,

Ile mechi kama ingekuwa ya yanga hata saba wangekula wale halafu maneno ya bahasha yaendelee, kama ilivyo kawaida.

Hizi team za mkoani Singida kama vipi zisipande daraja kabisa wala wasiuziwe team maana ni upuuzi tu unaofanyika.
Aliyekuwa mmiliki wa singida united aliwahi kuikimbia timu yake na kuzima simu baada ya kuona anaelekea kufilisika .
Timu ikabaki kama yatima mwishoe ikashuka daraja


Ushauri wangu .wamiliki wa timu zote za singida waunganishe nguvu waunde timu moja imara na waipe jina la mwanzo la singida united

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
MO ndio alianza na Mto Singida Yakima kipanya malapa ikashuka, MO aka nunua Mbagala Market ikaiita African Lion ikashuka, Kwasasa ameinunua Simba hatujui malengo yake isije ikawa anataka kuishusha daraja.
 
Tatizo jingine ni uyanga na usimba. Yaani ni kama hakuna kabisa watendaji ambao si yanga wala simba.
 
MO ndio alianza na Mto Singida Yakima kipanya malapa ikashuka, MO aka nunua Mbagala Market ikaiita African Lion ikashuka, Kwasasa ameinunua Simba hatujui malengo yake isije ikawa anataka kuishusha daraja.
MWAMEDI NI MSHENZI SANA....
 
MO ndio alianza na Mto Singida Yakima kipanya malapa ikashuka, MO aka nunua Mbagala Market ikaiita African Lion ikashuka, Kwasasa ameinunua Simba hatujui malengo yake isije ikawa anataka kuishusha daraja.
Ameinunua Simba bei gani?
 
Back
Top Bottom