Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,833
- 50,015
Mngeitandika na jana nyie watu mimi nakwambia hivii kikosi kibovu kabisa cha yanga hii mbele ya simbaMisimu yote miwili mliyochukua ubingwa wa Vodacom PL mlikuwa mnatandikwa tu na YANGA bila ya kufurukuta, unaonaje mlipe kisasi cha hicho kichapo kwanza ili muendelee kujifariji kwa ubovu wa YANGA