aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,672
- 3,737
Yanga inatarajia kuleta katibu mpya mkenya.mimi binafsi siungi mkono hapa makamu mwenyekiti clement sanga umechemka na unaendeleza sera ya kutukuza wageni. Hapo kwanza tayari tunapunguza ajira ya mtanzania na pia tunaendeleza ile dhana kuwa wakenya wanaweza kuliko sisi
Pia huyo katibu mpya sio mwanachama wa yanga(hana kadi)
Katibu mwenyewe anashutuma kibao za uwizi alipokuwa kiongozi chama cha mpira wa kenya
Pia huyo katibu mpya sio mwanachama wa yanga(hana kadi)
Katibu mwenyewe anashutuma kibao za uwizi alipokuwa kiongozi chama cha mpira wa kenya